monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,490
- 13,022
Sure!Utawala huu kuna watu wanapiga hela wakishirikiana na mkulu mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure!Utawala huu kuna watu wanapiga hela wakishirikiana na mkulu mwenyewe
ubongo wako mavi tupu....eti atapandishwa cheo so whatMavi tupu,mtashindwa kama mlivyoshindwa kwa Makonda na mfululizo wa threads lukuki za kumponda,sana mnamtakia kupandishwa cheo tu huyu mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Akijua balaa lake si unalijua?kwaa akili zako unadhani MEKO hajui
Hapana. Lakini ingefanya uchunguzi makini kuhusu sakata la tuhuma za rushwa zilizokuwa zikimkabiri Kangi, asingeteuliwa kuwa Waziri.Takukuru ipo chini ya wizara ya mambo ya ndani?
Hayo mambo ya wakubwa aliondoka nayo JKUfisadi wake anakula na wakubwa wa ccm na hao ndiyo watamlinda kwa gharama zote
Hiyo ni ishu nyingine umeileta.Haihusiani na ishu iliyopo mezaniHapana. Lakini ingefanya uchunguzi makini kuhusu sakata la tuhuma za rushwa zilizokuwa zikimkabiri Kangi, asingeteuliwa kuwa Waziri.
Unataka kumkumbusha Kangi Lugola yaliyopita. hahahahahaah
Ni wapi umeona Meya kapigwa Chini ?Yaani nyie mnachekesha sana. Miradi huwa inaibuliwa na madiwani wenyewe. Hii miradi yote imepitishwa na baraza la madiwani likiongozwa na meya wa chadema. Fedha zimepitishwa na madiwani na meya wa chadema. Wasimamizi na wakaguzi wa utekelezaji wa miradi ni chadema na meya wao. Mlikua mnaona raha mnapoenda kukagua miradi wakandarasi wanawahonga pesa mnapita tuuu hata hamkosoi kitu kwenye miradi. Leo meya katumbuliwa ndio mnajifanya mnauchungu ? Takukuru nadhani waanze kwanza na meya aliyepigwa chini pamoja na kamati zake za mipango fedha na uchumi watiwe ndani wakati uchunguzi na uhakiki unafanyika.
Tangu lini serikali za ccm zilikuwa safi?Huyu mkurugenzi ni wa kukamatwa tuu ! Yeye na anayeshirikiana nae hata kama ni RC Makonda kwa kweli ni wahujumu. Maana naona Mh. Kubenea mpaka mishipa ya kichwa inamtoka asee !
Hawa ndio watu wachache wanaochafua serikali ya awamu ya tano, ni wakufungwa tuu wakikutikana na hatia mahakamani. Very bad !
Hahahaaa Mwita angeunga juhudi saizi angekuwa anazungukatu kwenye kiti officini na kiyoyozi kwa mbaaali, majuto ni mjukuu.Hiki ndio chanzo cha mizengwe anayowekewa Isaya Mwita
bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .Hahahaaa Mwita angeunga juhudi saizi angekuwa anazungukatu kwenye kiti officini na kiyoyozi kwa mbaaali, majuto ni mjukuu.
Ukiwa mwanasiasa inabidi kuwa na moyo sana, yani mtu unanyang'anywa tonge mdomoni hivi hivi na umesha toea mchuzi, kweli.!!,
Hili lichama kweli babalao, yana zambi sana majituhaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Meko anajua sana ila kwakuwa mkono wa mtoto pendwa umo basi usijeshangaa ukiambiwa kuwa kina Kubenea ndiyo wanachunguzwa na Takukuru.kwaa akili zako unadhani MEKO hajui
Nani Mwana CCM? We ungejibu waziri wa mambo ya ndani angeingilia vipi uchunguzi wa takukuru? Idara amabayo haipo chini yake?
Mowe ataacha lini ufisaidi kwenye chama chake?CCM ya Magufuli inayoacha alama ya WIZI wa KODI ZETU.
Nchi inaongozwa na LIJIZI la Trillion zetu.
Ila hili jamaa jizi kweli!CCM ya Magufuli inayoacha alama ya WIZI wa KODI ZETU.
Nchi inaongozwa na LIJIZI la Trillion zetu.
Na wateule wake wajitutumua kuiba.
Kupatwa kwa Tanganyika.
😆😆😆😆Hii serikali ni ya wapiga "dili" kuliko serikali zote zilizopita. Magufuli, Makonda, Kigwangala na wengineo WANAFANYA STAREHE TU.