Nilishaisikia hiyo habari ya 'Masikini na Tajiri' kutoka kwa Muhubiri mmoja wa Arusha, ila sikujua na labda leo ndio najua kama naye alikopi kutoka kwa mtu.
Hivyo kuna uwezekano hata Steve hajaitoa kwa huyo bwana, labda naye kakopi kutoka kwa aliyekopi kutoka kwa aliyekopi kutoka kwa aliyekopi etc etc etc.
Aka kajamaaa bana cjui akili ndogo, cjui ni kik kanatafuta nlikuwa kanamponda eric omondi kwamba hajui kitu nikashangaa sana mtu a nafanya word tour hajui ila yy show tatu za dar peke ake tena ukumbi wanajaa washkaji zake tu uwoya, makonda, api nk, ndo utawaona leo kina mponda eric, nonsence
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.