Video: Ole Sabaya, Anavuna alichopanda Mapema!

Video: Ole Sabaya, Anavuna alichopanda Mapema!

Sabaya alikuwa na dream kwamba Magu ataishi milele na akimaliza Uraisi anamwachia bashite then yeye anakuwa mkuu wa mkoa wa Dar bashite akimaliza uraisi anapewa yeye, hawa waganga wanawadanganya Sana aisee wanawaaminisha upumbavu mwingi Sana.
 
Walizitunga sheria za uhujumu uchumi ili kukomoa wapjnzani.

Sasa imekula mtu wao.
Kukaa na mtu mahubusu Mwaka mzima then baadae i akjja kusemekana hana kesi ya kujibu ni uonevu mkubwa sana.

Hawa majaji, mahakimu, mawakili na waendesha mashtaka inaonekana hawajali haki za watu.

Sabaya hata kama ana makosa kumzungusha mwaka mzima kila siku upelelezi bado wanamuonea.
Mbona wazee wa escrow na wa uhamsho wamekaa miaka 9 kwa uonevu.Mwaka mmoja tu huo mnaanza kulia lia?
 
Mi sijawah kukutanae ila wapo ambao wakiishi jiran naye anapoishi nao walinibia hawajahi kuona akimuonea mtu wala haya yanayoelezwa kubaka sijui, au kukata masikia ndiyo kwanza wanayasikia.
Haya maneno na majibu yake ilikuwa akiwa bado ofisini. Mbona hakukana zaidi ya kuonyesha kiburi?
Hamumujui Sabaya nyie
 
Haya yote aliyafanya na yamewekwa hadharani tena akiwa bado yuko uraiani halafu wanalipwa kundi la wamasai na kina mama kuja kulia mahakamani?
Ni kama wanatia chumvi kwenye vidonda

 
Mi sijawah kukutanae ila wapo ambao wakiishi jiran naye anapoishi nao walinibia hawajahi kuona akimuonea mtu wala haya yanayoelezwa kubaka sijui, au kukata masikia ndiyo kwanza wanayasikia.
Sasa mimi nimeshakutana nae, naelewa namna alivyokuwa anawafanyia watu Ukatili.
 
Haya yote aliyafanya na yamewekwa hadharani tena akiwa bado yuko uraiani halafu wanalipwa kundi la wamasai na kina mama kuja kulia mahakamani?
Ni kama wanatia chumvi kwenye vidonda

Alijaa Dharau sana huyu Mwamba!!
 
Jamii ya kimasai; haitasahau kamwe manyanyaso ya awamu hii ya sita.

Kwanza imewafukuza kwenye ardhi yao ya asili Ngorongoro.

Na pili inamtesa kijana wao mahakamani kwa kesi ambazo hazina tija yeyote.
 
Back
Top Bottom