Video: Ole Sabaya, Anavuna alichopanda Mapema!

Video: Ole Sabaya, Anavuna alichopanda Mapema!

Daaah huruma sana, huwa sina utaratibu wa kufurahia madhila ya mtu,hata Kama inasemekana ni mbaya kiasi gani.
Imeandikwa tusihukumu.
Hata mbowe nilikuwa namuonea huruma mnoo.
 
Daaah huruma sana, huwa sina utaratibu wa kufurahia madhila ya mtu,hata Kama inasemekana ni mbaya kiasi gani.
Imeandikwa tusihukumu.
Hata mbowe nilikuwa namuonea huruma mnoo.
Ni sehemu ya ubinadamu. Ila wengine ulishaisha ndio maana wanaweza kukubambikia kesi ukanyea debe miaka kibao na hawana habari
 
Mbowe alipokaa miezi 8 jela alikuwa anavuna alichopanda kumbe
Uliwahi kumuona Mbowe analia mahakamani? Walio Lia na kuaibika ni mashahidi, ma SA, hata majaji waliopangiwa kesi hiyo.
Unajua ni kwa nini always alionekana shujaa? Watesi wote walionesha kukiri kuwa hana hatia. Ndio maana Rais wako ndani ya masaa machache akataka aonane naye baada ya kutoka lupango.
Tuambie ni nani duniani amewahi kutoka Lupango na kuitwa direct Ikulu kuongea na Rais?
 
Back
Top Bottom