yaan, laiti tukio moja tu la sabaya dhidi ya binadam mwenzake likionyweshwa kwa watu naamini hata wanaojisemesha kuwa usihukukum watakuwa wa kwanza kumpiga mawe. Sabaya si binadam wa kawaida linapokuja suala la ukatili!Maumivu ya kupiga mtu msumari kwenye ugoko na kuua hayana hata ukaribu na vilio vya hovyo
yaan, laiti tukio moja tu la sabaya dhidi ya binadam mwenzake likionyweshwa kwa watu naamini hata wanaojisemesha kuwa usihukukum watakuwa wa kwanza kumpiga mawe. Sabaya si binadam wa kawaida linapokuja suala la ukatili!
matendo ya sabaya ukiyaangalia kijinai tu utamwona ni mkosaji au mtuhumiwa wa kawaida kama kuiba au kupigana au kutumia mamlaka vibaya au siasa chafu. Ukweli ni kwamba jamaa ni special case! Kinachomsaidia ni watu wengi kutojua kiwango halisi cha matendo yake.
The cabron has guts for anything evil! far beyond felony!!
Watu wengi hawajui mambo ya Sabaya kabisa.yaan, laiti tukio moja tu la sabaya dhidi ya binadam mwenzake likionyweshwa kwa watu naamini hata wanaojisemesha kuwa usihukukum watakuwa wa kwanza kumpiga mawe. Sabaya si binadam wa kawaida linapokuja suala la ukatili!
matendo ya sabaya ukiyaangalia kijinai tu utamwona ni mkosaji au mtuhumiwa wa kawaida kama kuiba au kupigana au kutumia mamlaka vibaya au siasa chafu. Ukweli ni kwamba jamaa ni special case! Kinachomsaidia ni watu wengi kutojua kiwango halisi cha matendo yake.
The cabron has guts for anything evil! far beyond felony!!
saafi sana karma is thereHuyu jamaa alitesa sana watu.
Sasa hivi na yeye anateseka, he found karma very early.
Tujifunze kutenda Mema!!View attachment 2355918
Subutu!!!!Sabaya vumilia ni muda mchache tu Mwenye Enzi Mungu atakuinua tena maana hayo ni mapito ya binadamu!
Msifu Mwenye Enzi Mungu kwa yote!
Iko siku utakuwa huru tena na utanyanyuliwa na kuwa juu tena walahi nasema!
Kuna ule uwimbo unao sema “usifurahi juu yangu maana niangukapo mimi nitasimama tena”
Pole sana na uwe na afya na uzima!
![]()
Huyu jamaa alitesa sana watu.
Sasa hivi na yeye anateseka, he found karma very early.
Tujifunze kutenda Mema!!View attachment 2355918
Matukio yao hayafanani.
Mbowe sio mhalifu
Yule pacha wake wa Dasalamu baba junior nae lini kesi yake?.
Usiwe mse%nge wewe! Hata kama ni basha wako kaa kimyahata sabaya sio mhalifu
pumbavu wewe.... ivi kuna watanzania wangapi wanafungwa kwa kesi za kusingiziwa na hawajawahi kuliliwa mahakamani ili waachiwe? huyu sababya ni nani haswa mpaka atende maovu yote yale kisha mupeleke wanywa gongo kwenda kulia pale? ukiwa ccm lazima uwe na akili kama shetani tuMbowe alipokaa miezi 8 jela alikuwa anavuna alichopanda kumbe