Ana CV gani??yaani kakaa Jela tangu Mei 2021 mpaka Septemba hii 2022 bado unasema hamna Kesi!!!acha kujipa moyo wakati unakula vizuri na mwenzako anaishi kwa filimbi Jela na analala sakafuniNdugu usipoteze nguvu zako hamna kesi hapo wanamchisha kutaka wamualibie CV yake










Sabaya anaonewa tu.
Huko ccm yote wamejaa majizi na madhulumati kama sabaya au zaidi ili wanalindwa na mamlaka.
Masai feki kasema eti anaozea njeWameamua kupiga nduru balaa
Tulia wewe acha kumfananisha Mbowe na Gaidi SabayaMbowe alipokaa miezi 8 jela alikuwa anavuna alichopanda kumbe
Lakini serikali aliyotumikia ndio hiyo hiyo imemtia ndaniSabaya vumilia ni muda mchache tu Mwenye Enzi Mungu atakuinua tena maana hayo ni mapito ya binadamu!
Msifu Mwenye Enzi Mungu kwa yote!
Iko siku utakuwa huru tena na utanyanyuliwa na kuwa juu tena walahi nasema!
Kuna ule uwimbo unao sema “usifurahi juu yangu maana niangukapo mimi nitasimama tena”
Pole sana na uwe na afya na uzima!
![]()
Kipi alipandaMbowe alipokaa miezi 8 jela alikuwa anavuna alichopanda kumbe
Wanalilia matumbo yao sponsa yupo jela nani atawalipa mishahara yao?Hao jamaa wanaolia n kweli wanamaanisha au ndo hivo ka asali kametembea kuwa mislead jury??
Ni bahati mbaya tu Sabaya amekuwa na nyota ya punda. Amebeba madhambi kwa niaba ya wengine.Sabaya anaonewa tu.
Huko ccm yote wamejaa majizi na madhulumati kama sabaya au zaidi ili wanalindwa na mamlaka.
Wenzake wameachiwa mara baada ya kukiri makosa na wakaenda kupatana na DPP, kwakuwa makosa ni uhujumu uchumi wakalipa Tsh 1,050,000/= ila Sabaya ye bado anakana mashtaka.Wenzake wameachiwa
Sikuhizi unaambiwa kuna vikundi vya kukodisha kulia mpaka kwenye misiba. Kulia kwa namna hiyo wala hakuashirii huzuni yoyote.Hao jamaa wanaolia n kweli wanamaanisha au ndo hivo ka asali kametembea kuwa mislead jury??
Jàmbazi anaharibiwa vipi CV? CV yake ipo mitaani kwenye vichwa vya watu aliowakata masikio,kwenye miguu ya watu aliowapigilia misumari, na kwenye mioyo ya watu aliowapora pesa.Ndugu usipoteze nguvu zako hamna kesi hapo wanamchisha kutaka wamualibie CV yake
Sabaya hajafungwa mzee ila yupo mahabusu, Kesi yake haina dhamana tu hicho ndo kinafanya asiwe uraiani kumbuka kesi za mwanzo alishashinda ila DPP akaona amuundie nyingine Moshi ndo maana mpaka leo yupo ndani na wenzake watatu juzi wamekiri makosa wakaenda kupri bergain na DPP wakalipa Milion mona na elfu hamsini wakaachiwa huru ila Sabaya hajakiri makosa na wala hajaenda kupre bergain ila anaamini hakuna kesi atakuwa na hatia na ndiyo maana upande wa mashtaka mpaka leo wanachelewadha tu kesi kuwa upelelezi haujakamilika.Ana CV gani??yaani kakaa Jela tangu Mei 2021 mpaka Septemba hii 2022 bado unasema hamna Kesi!!!acha kujipa moyo wakati unakula vizuri na mwenzako anaishi kwa filimbi Jela na analala sakafuni
Baada ya kuwa tayari kuwa mashahidi wa serikali.Wenzake wameachiwa
Mkata masikio ya watu, mporaji wa mali za watu, mpigiliaji wa misumari miguu ya watu, atanyanyuliwa kwenda wapi? Huyu amebeba laana kuu.Sabaya vumilia ni muda mchache tu Mwenye Enzi Mungu atakuinua tena maana hayo ni mapito ya binadamu!
Msifu Mwenye Enzi Mungu kwa yote!
Iko siku utakuwa huru tena na utanyanyuliwa na kuwa juu tena walahi nasema!
Kuna ule uwimbo unao sema “usifurahi juu yangu maana niangukapo mimi nitasimama tena”
Pole sana na uwe na afya na uzima!
![]()