Hapo alikua makamu wa raisNchi haiendeshwi kwa nahau na misemo ya makunduchi
Niliwahi andika mahali naiogopa tanzania kuliko hata ninavyo muogopa nyoka au chatu porini. Mimi na kaa kimya ila ninajuwa Ipo nguvu zaidi ya Rais na kama ipo ukimya wa system nzima mpaka wa staafu kwa wenye jicho la mbali wanajuwa what next.... Hayati Magufuli angefufuka leo uwenda angeongoza Taifa hili kwa kukaa kimya mpaka 2025. Historia ga Taifa hili na miundo yake yakiusalama inatisha sana. Mungu tukumbuke watanzania na huwo ndio mwisho wa hadithi yangu.
Aibu tupundo amilijeshi mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama, mamaee
Alikuwa anatega kitendawili akiwa Makamo wa Rais, sasa hivi ni Rais hategi tena bali anatenda.Kitendawili natega, natega kitegueni
Tegueni bila woga, nasubiri kwa hisani
Kuna kijungu chapwaga, bila ya moto jikoni
Kama mmeshindwa mpeni mji Mama atutegulie mwenyewe kitendawili chake