Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

Mtibeli hebu funguka,
Hali kama hiyo ya mtoto kupigana na Baba yake ina sababishwa na nini hasa?

1. Mtoto wa kambo kukupasua ni Jambo unalotakiwa kulitarajia hasa akishaanza Kuota ndevu. Alafu ukiwa Una enforce laws and orders hapo home. Yeye ataona unamuonea mamaake.
Mara nyingi hiyo hutokea.
Kesi nyingi za Wababa kupigwa hutokea kwa watoto wakufikia(wakambo).

2. Mama kumdekeza na kumkania mtoto.
Mtoto ambaye hajadekezwa na Mamaake hawezi kupigana na babaake.

Baba anapotoa oda zake au kumuweka Sawa Mkewe, alafu mkewe akawa mkaidi na kuona anaonewa watoto hutokea kumchukia Mzee. Na hawawezi kukuelewa.

3. Mama kuwapa sumu watoto kwamba Baba Yao anahudumia wanawake wengine au anapenda familia nyingine kuliko wao
Chuki inayojengeka kwa mtoto hupekelea Mzee kupigwa mitama.

4. Mzee/Baba kuwa muonevu kupitiliza.
Baba linalewa mapombe, linakuja na kuanza kuleta ubabe wa kipumbavu,
Au kudhulumu haki za watoto.

Watoto wasio na uvumilivu hujikuta wakiwapa dawa, full doze Baba zao kuwaweka sawa.

5. Tamaa ya Mali.
Watoto wakishakuwa watu wazima. Kama ni vichaa kutoka kwa Mama zao. Walahi wabillah wanaweza kukuhujumu wakakuua.
 
Kiukweli Huwa unaboa sana na huu uchafu wako unaoandika humu Kila wakati, tena unatia kinyaa hapa

Badilika mbwa wewe
Mbwa mm nasema hv, em kufa ili niamini kweli nnakuboa.

Kwanza h comment yako imenipa hamu ya kurusha kimoja 💦
 
Bora nikuweke kwenye kapu la uchafu
Usisahau kulike na kusukurubu for more fun tips kama hizi

Wapiga nyeto we'll miss you so much Bushmamy ❤️

Kwa kuheshimu kapu la uchafu, naomba nije nikimwage kimoja humo kwenye kapu kabla hujaniweka 😎
 
Hii inatokana hasa na tabia ya Mama anapokuwa anamtukana mume wake mbele ya watoto wake, dharau inakua ndani ya watoto dhidi ya Baba yao... Kesho hayo ndio matokeo yake..
 
Back
Top Bottom