Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,857
- 7,336
Dogo inaonekana anaangalia sana WWE.
Nitakujibu kesho ila rejea majadiliano kati yangu na Evelyn Salt kuhusu muda kuamua. Sipo katika muda wa kufikirika bali muda wangu kuhusu suala hili ni muda wa matendo.Wewe ulisikia wapi?🤣
Mkuu unamwonaje bi mkubwa, yaani unataka heavy weight na feather weight waingie ulingoni? Nyerere alisema "It is murder!"Sometimes unakuta ugumu wa maisha unachangia, Mzee kavurugwa na mtoto pia. Madhara ya kuzaa uzeeni, mbona dogo kashindwa kubatle na bi makubwa?
Ina maana huyu wa kwetu alikuwa anapiga wazazi wake?😳Huyu akija kupata madaraka ataua Watanganyika wengi sana, katiba ibadilishwe mapema kuwe na ugatuzi wa madaraka🐼