Bi mkubwa bado yuko fitSometimes unakuta ugumu wa maisha unachangia, Mzee kavurugwa na mtoto pia. Madhara ya kuzaa uzeeni, mbona dogo kashindwa kubatle na bi makubwa?
We mjinga kweli, yaani mwanao wa kumzaa usimpige anapokosea pakubwa? Au hujui malezi ya watoto wa kiafrika? Unamtuma ana kataa, au anakujibu jeuri utafanya nini zaidi ya kumwadhibu?sijawahi kuelewa, hivi unawezaje kumpiga mtoto wako damu yako, i mean yeye ni wewe, unaanzaje hata kumpiga? anaweza kukuosea nini haswa? ...
Ila na yeye alikua anakama uoga flan hivi, alikuwa anapeleka makonde huku anajihami😀Bi mkubwa bado yuko fit
Hahahaha dah umetisha mkuuNdo mana sometimes nyeto n mzuri ili kuua Wapumbavu kama hawa kabla hawajawehuka
Usikute sio damu yakosijawahi kuelewa, hivi unawezaje kumpiga mtoto wako damu yako, i mean, yeye ni wewe, unaanzaje hata kumpiga? anaweza kukuosea nini labda? upendo uko wapi? mtoto yuko sawa ana haki ya kujilinda, huyo "baba" kaamua kumpiga kwa sababu kamzidi nguvu na hiyo ndiyo sababu pekee ya mtu x kuamua kumpiga mtu y.
binafsi naamini kama kweli unampenda mtu hauwezi "kumpiga" ...
Yeah! Umakini muhimu, angeweza kukutana counter right-hook punch kirahisi ndiyo maana alijiweka mbali kila aliposhambulia😂Ila na yeye alikua anakama uoga flan hivi, alikuwa anapeleka makonde huku anajihami😀
Tunaambiwa mbegu bora ndio zinawahi kufika kwenye yai na kuunda mtoto, cjui Kwann hawa Wapumbavu ndo wanakuwa na ubora hadi kufikia yai 😂Hahahaha dah umetisha mkuu
😂😂😂😂😂Tunaambiwa mbegu bora ndio zinawahi kufika kwenye yai na kuunda mtoto, cjui Kwann hawa Wapumbavu ndo wanakuwa na ubora hadi kufikia yai 😂
Imagine kulikuwa na wapambanaji wenye kumletea mzee faida, walishindwa kufika kwenye yai kisa huyu mwendawazimu mmoja
Ah bora kuwaua wote tuu, cha msingi n bao na sio mtoto.
Hapa kesi unaimaliza kibingwa hataweza kuwa mrithi wa chochote hata ndala mbovu na hata paswa kunizika Wala jina lake halitapaswa kutaka period.
Wazazi wapumbavu ni kipigo tu ..unakuta zazi lenyewe pumbavu kama samuya