Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Sasa mbona umembania senksi mpwa? Ile ni kopi endi pesti!
Nilisahau kugonga kale kabatani, senksi na wewe nakugongea(sina maana ya ZD) LOL
Sasa mbona umembania senksi mpwa? Ile ni kopi endi pesti!
Burn unamaanisha nini?kabla sijauliza swali lingineNilisahau kugonga kale kabatani, senksi na wewe nakugongea(sina maana ya ZD) LOL
Burn muogope Mungu wako.Kuolewa/kuoa ni wajibu na kuzaa ni majaliwa ya mwenyezi Mungu.Unajuaje kama wanataka mtoto lakni hawapati? Wewe una watoto shukuru Mungu lakini kuna wenzio wanashinda kanisani kwenye mikesha kuomba watoto na wengine kwa kina kalumanzila kutafuta watoto na bado ni ishu.
Hahaha! Kisababisha kabinti kwa stomachi ya mamito! LOL!
Burn unamaanisha nini?kabla sijauliza swali lingine
bht una akili sana. Yani anatuzunguuuuuuuuuusha wee ka daladala vile. Atuelezee vizuri.you are making ze matter wesi now, si uwe wazi tu mbona round nyingi ka tapeli wa posta mpya???? Iribini hebu sema
Basi bwana,nadhani wewe utakuwa ni MD wa machozi band kabisaaaaaaa.Maana haya madetails ni adimu kuyapata kama huna hisa.Tuwaache wenyewe na maisha yao.Sikutaka kulisema hili, ila wacha niliseme tu, wote Gadner na Jaydee wapo fit kuweza kupata mtoto( inajulikana Gadner ana mtoto mkubwa tu, na Jaydee aliwahi kupata ujaouzito kipindi fulani) lakini Gadner ambaye ndiye manager wa Jaydee kashauri asizae kwa sasa ili aweze kufanya shughuli zake za muziki na kwa kuwa yupo kwenye peak ni vyema aka exploit hali hii to the maximum. Sasa unataka niseme kuwa hawakujaliwa kupata mtoto au hawajaamua kupata mtoto kwa ajili ya maslahi yao ya kibiashara kwa sasa?
chakula cha wakubwa a.k.a mafisadi papamchumba na mimi nataka kuujua mtarimbo,kwani ndio kitu gani? Au chakula?
bht una akili sana. Yani anatuzunguuuuuuuuuusha wee ka daladala vile. Atuelezee vizuri.
azawaizi kataaa propozo yake......
am satisifaidi fo now.Baadae ntakuuliza kuhusu mtalimbo.Si maanishi kitu, hizo ni herufi tu, unaweza kuendelea sasa.
azawaizi kataaa propozo yake......
from being maria magdalene to being shetani.....haijalishi wat matters ni we kusema ili nasisi tuweze kuchangia huu mjadalaRudi nyuma shetani!
hahahahahaa,hihihihiihh! eti eee? thnx bht
am satisifaidi fo now.Baadae ntakuuliza kuhusu mtalimbo.
bht huna akili sana. Yani anatuzunguuuuuuuuuusha wee ka daladala vile. Atuelezee vizuri.
Nasubiria hiyo talaka. bht atakava nafasi yako!hahahahahaa,hihihihiihh! eti eee? thnx bht