Video: Mnaosema Trump hawezi kushinda uchaguzi wa mwaka huu, Mmesahau?

Hukuwa na haja ya kunitag. Uchaguzi wowote ni pata potea; Trump ameprove kuwa unstable na thin-skinned sana kiasi kuwa hata watu wake wamemwogopa. Halafu kazi kubwa waliyokuwa wanataka afanye ya kujaza majaji ameishaimaliza. Subiri matoleo yaje; wengine tunajua kukubali matokeo yakishatoka, hatuwezi kubisha baada ya hapo, lakinit tusipoteze muda kujadiliana mambo ambayo muda wake haujafika. Kuna mwanafalsafa mmoja alisema usivuke daraja kabla ya kulifikia.
 
Hukuwa na haja ya kunitag. Uchaguzi wowote ni pata potea; Trump ameprove kuwa unstable na thin-skinned sana kiasi kuwa hata watu wake wamemwogopa. Halafu kazi kubwa waliyokuwa wanataka afanye ya kujaza majaji ameishaimaliza. Subiri matoleo yaje; wengine tunajua kukubali matokeo yakishatoka, hatuwezi kubisha baada ya hapo, lakinit tusipoteze muda kujadiliana mambo ambayo muda wake haujafika. Kuna mwanafalsafa mmoja alisema usivuke daraja kabla ya kulifikia.
Huna unalojua lete Takwimu za Trump kwenye uchumi, ajira n.k sio maneno matupu ...
 
Huna unalojua lete Takwimu za Trump kwenye uchumi, ajira n.k sio maneno matupu ...
Kwa bahati mbaya kila ninapokuwa tagged huwa ninajitahidi kujibu; ila kwa sasa hivi nilikuwa namalizia kazi ya maans sikuwa napenda kurudia mambo haya yasiyokuwa na msingi. Trump alikuta unemployement rate ya 4.7 % ikiwa inashuka taratibu na uchumi wa amerakani ulikuwa unakua taratibu kwa 2.5%, akapitisha tax cuts na kufuta regulations akidai uchumi utakua kwa 5% na unepoloyment rate itafutika. Baada ya tax cut kweli unemployment iliendelea kushuka pole pole kama enzi za Obama hadi kufikia kama 3.4% nadni ya miaka mitatu, wakati wa Obama aliishusha kutoka 12% hadi 4.7% katika miaka saba; hata hivyo lakini uchumi haukukua tofauti na ule wa obama, umebaki 2.5% tu. Wakati Obama alikuwa ana-encourae watu waingie kwenye kazi stable, yeye alikuja anachapulia kazi za mkatao mkato tu, na aliwahi kuwaambia kuwa uchimbaji wa makaa ya mawe utarudi. Leo hii marekani hakuna cha makaa ya mawe tena, wale wachimaji wa makaa ya mawe waliompigia kura wengi wao ni wagonjwa sana, na wale waliopata na kazi za mkato ndio waliofutwa na wimbi hili na Corona. Unemployment sasa hivi ni zaid ya 20% na uchumi haujawahi kukua zadi ya 2.5% kwa mwaka aliyoacha Obama. Hiyo achilia mbalie deni la mareani na deficit ambacyo vimepanda sana ndani ya hii miaka mitatu tu bila matokeo yoyote. Najua kuna watu huwa wanapenda kusikia wanavyoamaini, na siwezi kukuambia utakachoelewa kama uko katika ukumbi huo. Lakini facts don't hide.

Data za Uchumi wa Marekani ziko wazi kabisa na zinapatikana mitandaoni kila mwisho wa mwezi; kwa nini uwe unaamini vitu kijinga kijinga bila kusoma data hizo ambazo siyo siri kabisa?

1. Data za GDP ya Marekani ni pamoja na hizi hapa
1590821765228.png


2. GDP growth rate ni hii hapa

1590821923359.png

3. Unemployment rate ni hii hapa

1590822033131.png


Sasa sijui unasiia nini kwenye data hizo.
 
Hukuwa na haja ya kunitag. Uchaguzi wowote ni pata potea; Trump ameprove kuwa unstable na thin-skinned sana kiasi kuwa hata watu wake wamemwogopa. Halafu kazi kubwa waliyokuwa wanataka afanye ya kujaza majaji ameishaimaliza. Subiri matoleo yaje; wengine tunajua kukubali matokeo yakishatoka, hatuwezi kubisha baada ya hapo, lakinit tusipoteze muda kujadiliana mambo ambayo muda wake haujafika. Kuna mwanafalsafa mmoja alisema usivuke daraja kabla ya kulifikia.
Sijakutag kwa bahati mbaya, hayo kwenye bold ni maneno yako Hata kule kwenye republican kwenyewe nako amejenga uadui na sehemu fulani ya republicans ambapo kuwa republican kadhaa watapiga kura against Trump siyo for for a Challenger, na kuna republican ambao hawatapiga kura kabisa, kwa hiyo trump anabaki na ile base tu ambayo haitoshi kabisa kushinda
Kwa hayo Maneno yako ya mwisho ndo yamefanya nikuulize "umesahau"
 
Kwa bahati mbaya kila ninapokuwa tagged huwa ninajitahidi kujibu; ila kwa sasa hivi nilikuwa namalizia kazi ya maans sikuwa napenda kurudia mambo haya yasiyokuwa na msingi. Trump alikuta unemployement rate ya 4.7 % ikiwa inashuka taratibu na uchumi wa amerakani ulikuwa unakua taratibu kwa 2.5%, akapitisha tax cuts na kufuta regulations akidai uchumi utakua kwa 5% na unepoloyment rate itafutika. Baada ya tax cut kweli unemployment iliendelea kushuka pole pole kama enzi za Obama hadi kufikia kama 3.4% nadni ya miaka mitatu, wakati wa Obama aliishusha kutoka 12% hadi 4.7% katika miaka saba; hata hivyo lakini uchumi haukukua tofauti na ule wa obama, umebaki 2.5% tu. Wakati Obama alikuwa ana-encourae watu waingie kwenye kazi stable, yeye alikuja anachapulia kazi za mkatao mkato tu, na aliwahi kuwaambia kuwa uchimbaji wa makaa ya mawe utarudi. Leo hii marekani hakuna cha makaa ya mawe tena, wale wachimaji wa makaa ya mawe waliompigia kura wengi wao ni wagonjwa sana, na wale waliopata na kazi za mkato ndio waliofutwa na wimbi hili na Corona. Unemployment sasa hivi ni zaid ya 20% na uchumi haujawahi kukua zadi ya 2.5% kwa mwaka aliyoacha Obama. Hiyo achilia mbalie deni la mareani na deficit ambacyo vimepanda sana ndani ya hii miaka mitatu tu bila matokeo yoyote. Najua kuna watu huwa wanapenda kusikia wanavyoamaini, na siwezi kukuambia utakachoelewa kama uko katika ukumbi huo. Lakini facts don't hide.

Data za Uchumi wa Marekani ziko wazi kabisa na zinapatikana mitandaoni kila mwisho wa mwezi; kwa nini uwe unaamini vitu kijinga kijinga bila kusoma data hizo ambazo siyo siri kabisa?

1. Data za GDP ya Marekani ni pamoja na hizi hapa
View attachment 1463271

2. GDP growth rate ni hii hapa

View attachment 1463274
3. Unemployment rate ni hii hapa

View attachment 1463277

Sasa sijui unasiia nini kwenye data hizo.
Ok, yupo fresh kwenye uchumi lakini maisha sio uchumi tu peke yake, amekuwa mzembe sana kwenye hili la Corona virus ambalo ndio litakuwa factor kubwa sana kwenye uchaguzi, maana watu wengi sana wamekufa kwa uzembe wa Trump kutokuchukua hatua mapema licha ya kushauriwa
Pia haya masuala ya ubaguzi wa rangi yatamuangusha na ameonekana akizidisha mgawanyiko kati ya weusi na weupe
 
Kumbuka Trump ana washabiki wanaomfuata huko Twitter zaidi ya milioni 80 na Marekani siku zote kigezo kikubwa wanachoangalia wapiga kura ni uchumi tu hayo mengine ni ziada tu.

Tofauti na huku kwetu ambapo chama kilichoko madarakani huamua kitangazwe mshindi kwa asilimia ngapi.

Kwa utaratibu huu wa kuheshimu matakwa ya wapiga kura ni haki tuwapongeze wenzetu. Hapa kwetu tayari rais na chama chake wana matokeo ya uchaguzi ujao kiasi kwamba wameshawambia akina Mbowe na wenzake kuwa hawawezi kurejea tena bungeni....!!!!

Ndio maana nchi zetu hizi zina laana na kwa hizi dhuluma hazitakaa kabisa ziendelee, zitabaki tu ombaomba siku zote.
 
Yani Biden amtoe trump kweli mko serious? TRUMP kama angesimama na watu baadhi baadhi ningehofia ila sio Sleepy Joe Biden. Wacha afungue kwanza America wazungu ni wanafiki na wanapenda mtu mwenye kaiba ya Trump mana jamaa na Interest ya wamerikani ndio first, Hana upuuzi wa kuhangaika na dunia nzima yeye Wamerekani kwanza na ndio mana hapepesi macho kuongea hilo, Mkiambiwa na Magu hamna mjomba duniani muelewe
 
Kwa bahati mbaya kila ninapokuwa tagged huwa ninajitahidi kujibu; ila kwa sasa hivi nilikuwa namalizia kazi ya maans sikuwa napenda kurudia mambo haya yasiyokuwa na msingi. Trump alikuta unemployement rate ya 4.7 % ikiwa inashuka taratibu na uchumi wa amerakani ulikuwa unakua taratibu kwa 2.5%, akapitisha tax cuts na kufuta regulations akidai uchumi utakua kwa 5% na unepoloyment rate itafutika. Baada ya tax cut kweli unemployment iliendelea kushuka pole pole kama enzi za Obama hadi kufikia kama 3.4% nadni ya miaka mitatu, wakati wa Obama aliishusha kutoka 12% hadi 4.7% katika miaka saba; hata hivyo lakini uchumi haukukua tofauti na ule wa obama, umebaki 2.5% tu. Wakati Obama alikuwa ana-encourae watu waingie kwenye kazi stable, yeye alikuja anachapulia kazi za mkatao mkato tu, na aliwahi kuwaambia kuwa uchimbaji wa makaa ya mawe utarudi. Leo hii marekani hakuna cha makaa ya mawe tena, wale wachimaji wa makaa ya mawe waliompigia kura wengi wao ni wagonjwa sana, na wale waliopata na kazi za mkato ndio waliofutwa na wimbi hili na Corona. Unemployment sasa hivi ni zaid ya 20% na uchumi haujawahi kukua zadi ya 2.5% kwa mwaka aliyoacha Obama. Hiyo achilia mbalie deni la mareani na deficit ambacyo vimepanda sana ndani ya hii miaka mitatu tu bila matokeo yoyote. Najua kuna watu huwa wanapenda kusikia wanavyoamaini, na siwezi kukuambia utakachoelewa kama uko katika ukumbi huo. Lakini facts don't hide.

Data za Uchumi wa Marekani ziko wazi kabisa na zinapatikana mitandaoni kila mwisho wa mwezi; kwa nini uwe unaamini vitu kijinga kijinga bila kusoma data hizo ambazo siyo siri kabisa?

1. Data za GDP ya Marekani ni pamoja na hizi hapa
View attachment 1463271

2. GDP growth rate ni hii hapa

View attachment 1463274
3. Unemployment rate ni hii hapa

View attachment 1463277

Sasa sijui unasiia nini kwenye data hizo.
mijadala ya kina trump kuhusiana na mauchaguzi yao hua sipendi kuiingilia ila MKUU kuna watu hata ukiwapa fact watabisha tu
 
Kwako fact ni zile tu zinazoonyesha Trump kushindwa
mijadala yauchaguzi warais wa US hua sipendi kabisa kuchangia huu sijui niliingiaje mkenge

Ashinde Dt ashinde Baiden wote niwale wale tofauti yao vyama tu

Akiingia Dt kwangu sawa sawa kaingia baiden akiingia baiden sawa sawa kaingia trump

Unahisi akiingia joe ndio atapinga ndoa zajinsia moja DUNIANI ?!

unahisi ataondoa majeshi ya US katika mataifa yawatu !?


US tatizo wala sio rais tatizo lao mfumo hata apewe nani ataenda kama wanavyotaka wao wanatofautiana mambo machache sana ambayo sio yamaana wala msingi kwawengine ile kwao yamaana kama obama care



Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom