jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,293
Vijana kama hawa ni hazina kwa taifa ila nasikitika hapa kwetu ndo kama ivyo ila nchi zewenzetu wenye kufikiri watu wanamna iyo ndo silaha zamageuzi ya fikra na teknolojia.Pole sana bw.Max sisi tuko nyuma yako.Just keep it up bro.
Hapana mkuu hata huko mbele wapo kama kina max wananyanyasika sana refer ASENGA