Video: Maxence Melo awashukuru wote walioshiriki na hana tatizo na yeyote

Nmegundua kuna vyombo vya habari sivion hapo kwenye press conference wakat mara kibao wanapata habar huku JF

Vyombo vingi vya habari vilikuwepo mahakamani lakini wahusika walikataza Maxence kuongelea kwenye eneo la mahakama hivyo wachache waliofanikiwa kumfata walimfata(Nadhani pia mahakamani kulikuwa na kesi nyingine kubwa).
 
You're great a man. We all do understand your contribution, in helping the society to have a platform to freely express their concerns, views, opinions on matter related to politics, social affairs to mention a few. On top of being a reliable source of information,the platform has really facilitated at times rapid dissemination of urgent information, which would have otherwise taken very long to spread across

Your contribution, will never go unnoticed. We love you very much and also we're praying for you.

May GOD be with you in all the way
 
Vijana kama hawa ni hazina kwa taifa ila nasikitika hapa kwetu ndo kama ivyo ila nchi zewenzetu wenye kufikiri watu wanamna iyo ndo silaha zamageuzi ya fikra na teknolojia.Pole sana bw.Max sisi tuko nyuma yako.Just keep it up bro.
 
"Tuwalinde watoa taarifa kwa namna yoyote ile tunavyo weza" hii kauli imenipa matumaini ya kuiona Tanzania Mpya.

Hii kauli inanisisimua sana jamaa kauli inatoka moyoni.

Namuona ni mwanamapinduzi wa ukweli ni mpambanaji.

Sikuwahi kuwaza kama ipo siku nitakukubali max am sorry.

Niliona ni mtu wa kawaida tu tena sana ila sasa nakuelewa wewe ni nani.

Pamoja
 
Back
Top Bottom