Ukiachana na kazi za kibeto hizo za kuchoshana ni kitu gani kingine tunafanya kama sehemu ya kuboresha jeshi liendane na hali ya teknolojia ya Sasa?Hahaha kwanini mkuu?
Hahaha mkuu umenichekesha.Si wapelekwe wakalime kuliko kupoteza nguvu kwenye matope. Hii nchi inamapori mengi yako bwerebwerere. Yapelekwe huko yakalime taifa letu liwe the food basket la eastafrica.
As long as Jeshi letu liko chini ya CCM siyo la kujivunia.
Yapelekwe tu yakalime huko hamna namna
Aisee mbona jana hukutokea Stockholm (Näsby allé, Täby)?Si wapelekwe wakalime kuliko kupoteza nguvu kwenye matope. Hii nchi inamapori mengi yako bwerebwerere. Yapelekwe huko yakalime taifa letu liwe the food basket la eastafrica.
As long as Jeshi letu liko chini ya CCM siyo la kujivunia.
Yapelekwe tu yakalime huko hamna namna
lione limeshatoka kwenye Ban. Bora mods wangekupa permanet benAisee mbona jana hukutokea Stockholm (Näsby allé, Täby)?
Jasho litakutoka.lione limeshatoka kwenye Ban. Bora mods wangekupa permanet ben
Mbona kawaida sana kwa wanaotizama wataogopa sana lakini kwa waliopita huko ni kawaida hadi unafarahi yani
Kweli kabisa mkuu, katika zama ambazo majeshi ya dunia yanakomaa kupunguza askari na ku employ teknolojia sisi majeshi yetu yamebaki kwa ajili ya maonesho ya sarakasi tu.Bado tuko Early Stone Age
Wanakuwa wanataka kututisha sisi akina Kajamba nani, ili tusilete fyooo. Lkn MUNGU wetu ni mwenye nguvu kuliko hao.Kweli kabisa mkuu, katika zama ambazo majeshi ya dunia yanakomaa kupunguza askari na ku employ teknolojia sisi majeshi yetu yamebaki kwa ajili ya maonesho ya sarakasi tu.
Hivi wewe unajua maana hata ya neno "mwanajeshi"?Bado tuko Early Stone Age
Nani awapeleke wewe lofa nini, acha kudharau kazi za watu mjinga wewe.Si wapelekwe wakalime kuliko kupoteza nguvu kwenye matope. Hii nchi inamapori mengi yako bwerebwerere. Yapelekwe huko yakalime taifa letu liwe the food basket la eastafrica.
As long as Jeshi letu liko chini ya CCM siyo la kujivunia.
Yapelekwe tu yakalime huko hamna namna
Mkuu umetoboa vizuri mno kula tano. Ila wengi wanahisi kwamba Majeshi yetu yanatumika na wanasiasa; kwamba ukakavu na uvumivu wote huo kimafunzo unawaishia waandamanaji kumi waliobeba vibago na makaratasi. (Hii ni mada ni nyingine anyway tuitafutie muda ijadiliwe).Hivi wewe unajua maana hata ya neno "mwanajeshi"?
Hata Marekani na urusi hufanya mafunzo kama haya lazima wapitie, tofauti ya majeshi huja kwenye ubora wa silaha ( vifaa), mengine yote ni yaleyale tu,
Unataka kusema mwanajeshi wa USA hapigishwi drill kama hizo? Askarijeshi yeyote duniani lazima apitie mafunzo magumu ya kumfanya aweze kustahimili hali ngumu awapo kwenye majukumu yake,
Hayo yanatolewa kumfanya askari kuwa mvumilivu na mwenye utimamu. Vinginevyo nchi zilizoendelea wangeweka hata vilema jeshini kisa tu wana silaha bora za bofya tu, lakini sifa kuu ya mwanajeshi ni uvumilivu na ukakamavu.
Kabla hujakosoa ni vyema ukawa na ufuatiliaji hata YouTube utaona Marekani urusi hata Israel wanavyoandaa wanajeshi wao, hakuna tofauti na tz, tofauti ni kwenye teknolojia na silaha tu.
Mkuu umetoboa vizuri mno; ila wengi wanahisi majeshi yetu yasitumike na wanasiasa; kwamba ukakavu na uvumivu huo kimafunzo unawaishia waandamanaji kumi waliobeba vibago na makaratasi. (Hii ni mada nyingine anyway tuitafutie muda ijadiliwe).
Otherwise Majeshi yetu yote tunayapenda mno.