Video: Jinsi vyombo vya habari vya wazungu vilivyosherehekea kuingia kwa Corona Africa,”The virus finally hits Africa!”

Namba hazidanganyi mkuu. Muda ukifika unaumbuka tu. Nchi inahitaji fedha za kigeni, unadhani kuuziana chapati ndiyo kutaenda kulipia madeni ya SGR? Na huo utalii uliosimama, kipi kitafanyika kufidia hilo gap? Na huduma za jamii zilizosimama kama michezo na elimu, unadhani zitafunguliwa lini na kwa utaratibu gani?

Kuwa serious kidogo basi.
Sasa kama tunaendelea na uzalishaji katika sekta zingine shida iko wapi? Kama utalii unakwama basi huu ndio muda wetu wa kujiimarisha katika sekta za kilimo, ufugaji na uvuvi, na bahati nzuri mvua zimekuja za kutosha wakati muafaka, maana hizo ni bidhaa ambazo kwa siku za usoni zitakuwa na demand kubwa sana, hata hao waliokwenye lockdown watahitaji products za sekta hizo, huu si muda wa kukaa na kuombea Magufuli ashindwe ili mumzodoe, ni nchi yetu sote hii, nakuona jinsi ulivyo na shauku ya kuona tunaumbuka, wiki 2 mlizosema mnaona hazitoshi, sasa mnaanza tena miezi 6, haya ngoja tuone..
 
Habit of eating hand to mouth

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ukimsikiliza kwa makini huyo bibi wa kizungu unaona jinsi alivyo na wivu wa dhahiri juu ya Corona kutoichakaza Africa kama inavyowachakaza Italy, Spain na USA, yaani wanaumia, na wamepata furaha kali sana kuona Finally huu ugonjwa umetupata, eti “Africa has had the luxury of watching other nations suffer from corona...”, kwamba walikiwa wanona wivu juu ya hilo...., ndio maana wakaja kupuloza virusi vya Corona kwa kusingizia fummigation...
 
Hapo chini ni video yenye title “....Corona virus FINALLY HITS Africa” , kwa wanaoelewa hasa maudhui ya lugha ya kiingereza, ni kwamba neno FINALLY hutumika pale ambapo unakua unasubiria jambo flani kwa hamu na shauku kubwa lakini linakuwa linachelewa kutokea, na pale linapotokea ndio sasa unashangilia na kusema “....FINALLY....” , shuhudia mwenyewe.

Mzee hyo brevis unayoendesha wametengeza waafrica?
 
Mjuba, hivi haujui huko sehemu kama Marekani, corona tayari inawaathiri watu wenye asili ya Afrika kwa kiwango kikubwa kuliko wengine? Mind you, nao mwanzoni mwa janga hili walikuwa wanashangilia kama wewe kuwa corona ni ‘the great equalizer’.

If anything, unatakiwa uwe alarmed sana kuhusu corona na kuwaza jinsi ya kukabiliana nayo badala ya kuja na hizi mada za kuchambua neno moja moja zilizosemwa na mtu baki.

Tayari wanasema corona haiondoki leo wala kesho. Tafakari kwa uchumi huu tulionao, hii ngoma tutaihimili vipi miezi 6 kutoka sasa. This is serious.

Think brother!

Takwimu za uongo hizo
Hakuna cha kutabiri,kwan hal ya china saiv iko na walitabiri vipi wakat corona iko china


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ngozi nyeusi tunapenda kulalamika na kulialia hata mambo madogo madogo tu.

Mbona sisi tunashangilia wao wanavyokufa na corona humu mitandaoni

Mbona tunawatukana sana wazungu kwenye vyombo vyetu vya habari na hata viongozi wetu wabawatukana sana.

Lakini wazungu wala hawajali, kinachotusumbua sisi ni inferiority complex wala shida sio wazungu au wachina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kila mara unakuja na mada za kuonyesha wazungu ni wabaya. Ongoza waafrika nao waendelee kama wazungu basi ili huu utofauti na ''uonevu'' uishe. Otherwise huna tofauti na yule mlevi anayelewa mpaka kujinyea na anaposafishwa anatukana.
kwa Mara ya kwanza nimeona comment ya mzungu jf
 
Historia inaongea, fuatilia “The Tuskegee Syphilis experiment” halafu rudi hapa uendelee kuharisha kama bata aliyelawitiwa, watu kama nyie mnatia hasira sana, hata babu yako wa kizazi cha 20 nyuma anakuangalia na anatamani hata akucharange mapanga na akuchemshe supu akunywe, hujui jinsi mababu wa hao nguruwe walivyowafanyia wazee wetu, hujui tu, ngoja niishie hapa, endelea kutetea hao wazibuliwa makalio, endelea tu, na laana ya mababu zako walionyongwa kama mbwa ikushukie...

Umechanganyikiwa wewe si bure. Endeleeni kuwadumaza watanzania kwa fikra za kijinga muone zitalisaidia nini taifa.

Eti una hasira, hahaha! Hilo jina lako lenyewe mbona halijakaa kisukuma kutukuza uafrika wako, badala yako unatukuza mambo ya kimafia! Halafu unawakandia waitaliano. Haujitambui wewe.
 
Anakwambia ugonjwa umeanza mdogo mdogo lakini kwakuwa Afrika ni Very Flagile tutakiona cha moto maaana kamwe hatuwez kuhimili kamwe kutokana na kutokuwa na Vifaa tiba vya Kutosha. Lkn tutavuka tu kigumu gumu.
Afrika imepigwa na majanga mangapi mkuu, kuna maradhi yameua millions of Africans na yanazidi kutuua kila siku. Hili ls Corona ni vile tu ni kama airborne ama kwa vile kwa kugusana linaleta shida, otherwise afrika imepigwa na maradhi makubwa kupita bara lingine lolote.

Wasitutishe hapa, wanatamani sana kuona vifo vya huko Spain, Italy, USA na UK vitahamia kwetu. Ni wapumbavu.
 
Umechanganyikiwa wewe si bure. Endeleeni kuwadumaza watanzania kwa fikra za kijinga muone zitalisaidia nini taifa.

Eti una hasira, hahaha! Hilo jina lako lenyewe mbona halijakaa kisukuma kutukuza uafrika wako, badala yako unatukuza mambo ya kimafia! Halafu unawakandia waitaliano. Haujitambui wewe.
Umeshaisoma hiyo Experiment waliyofanyiwa weusi miaka hiyo?, otherwise huna hoja
 
Historia inaongea, fuatilia “The Tuskegee Syphilis experiment” halafu rudi hapa uendelee kuharisha kama bata aliyelawitiwa, watu kama nyie mnatia hasira sana, hata babu yako wa kizazi cha 20 nyuma anakuangalia na anatamani hata akucharange mapanga na akuchemshe supu akunywe, hujui jinsi mababu wa hao nguruwe walivyowafanyia wazee wetu, hujui tu, ngoja niishie hapa, endelea kutetea hao wazibuliwa makalio, endelea tu, na laana ya mababu zako walionyongwa kama mbwa ikushukie...

U seems a Sore Looser who throws blames all directions to others for your stupid failures.

U are living I'm 18th century and don't have any clue on what is going on in the current world of technology.

While others or observing out our galaxy in interstellar systems you barely know what's happening in your own village. It would be a great honour to call you a village Guy as you are not that huge.

You are quite an good expert in verbal diarrhoea and insults to all being who aren't your colour you black racist.

Have Life and Let others live their life looser.
 
Afrika imepigwa na majanga mangapi mkuu, kuna maradhi yameua millions of Africans na yanazidi kutuua kila siku. Hili ls Corona ni vile tu ni kama airborne ama kwa vile kwa kugusana linaleta shida, otherwise afrika imepigwa na maradhi makubwa kupita bara lingine lolote.

Wasitutishe hapa, wanatamani sana kuona vifo vya huko Spain, Italy, USA na UK vitahamia kwetu. Ni wapumbavu.

Na Vikiamia utaenda Kuomba Msaada. Kama tulivyoanza Kulialia?
 
Hiki ni kichaa kamili.Unahitaji tiba ya afya ya akili,maana chuki uliyo nayo dhidi ya binadamu,ni mbaya kuliko corona yenyewe
Historia inaongea, fuatilia “The Tuskegee Syphilis experiment” halafu rudi hapa uendelee kuharisha kama bata aliyelawitiwa, watu kama nyie mnatia hasira sana, hata babu yako wa kizazi cha 20 nyuma anakuangalia na anatamani hata akucharange mapanga na akuchemshe supu akunywe, hujui jinsi mababu wa hao nguruwe walivyowafanyia wazee wetu, hujui tu, ngoja niishie hapa, endelea kutetea hao wazibuliwa makalio, endelea tu, na laana ya mababu zako walionyongwa kama mbwa ikushukie...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom