Video: Jerry Muro apasua jipu la sakata lake la rushwa!

watu ake wa karibu wanatakiwa kumtuliza ..awe mtulivu kwa kipindi hiki mpaka hapo hali itakapokuwa shwari
 
mwacheni awajibike kwa makosa yake...........kama sio kweli pia itajulikana ila huwezi kumtia mtu hatiani kabla ya mkondo wa sheria kuingilia na pia huwezi kumwondoa mtu hatiani kabla haijathibitika kutokuwa na kosa.............

Umeandika vizuri lakini hapo kwemye 'red' hapajakaa vizuri. JM ni innocent mpaka mahakama itakavyosema vinginevyo!
 
Jerry amejikuta ametumbukia kwenye hasira ya kiwango hicho kwa sababu hakutarajia kama angakutanana na upinzani kiasi hicho... Jerry kumbuka wewe ni muwindaji, unao wawinda wameshakufahamu kumbe sasa unawindwa si na mmoja bali wengi. "Uharibifu" unaendelea kuufanya kudhoofisha Mfumo uliopo ndio umechochea haya. Si kutabirii mabaya ila Kumbuka hata yule Bwana mkubwa Yesu Kristu alijikuta matatani kwa kupambana na mfumo uliokuwa umekomaa kwa karne nyingi. Kwa kuwa umeamua basi endelea inawezekana kabisa ukawa chanzo cha mabadiriko makubwa mazuri ya siku zijazo katika taifa letu.
 
Jerry needs to calm down na atafute good lawyers watakaomsaidia ku-clear issue ya pingu, bunduki na rushwa... akiweza kumaliza ndio achape ya defamation

Kova rushed and he failed miserably kwa kushindwa ku-connect the dots

Bunduki unaweza ukawa unamiliki kisheria - may be pingu thats it

Pia kuna kumwekea mtu mtego apokee rushwa ni kosa la jinai kwa hiyo ikidhibitishwa jamaa walimfanyia mtego wana matatizo makubwa - ishitoshe muro mara kadhaa alishalalamika kuwa watu wanamfuatafuata uwekea mitego ya rushwa na kama ari riport police issue hizo itasaidia pia.

ngoja tusubiri kesi ifike mahakamani
 
haya ni masuala ya kisheria...hayahitaji kupayuka.Jerry anaposema Kova ni mtu mdogo ana maana gani??na yeye ni mkubwa au.Haya ni maneno yasiyostahili kutamkwa na mwandishi kama yeye ambaye juzi tu kajizolea sifa lukuki.

Sheria ni msumemo....hapa hakuna sympathy ya umma wala nini tusubiri sheria ichukue mkondo wake.

Tusianze ku -assume kwamba kutokana na taarifa zake ndo maana haya yakatokea.
 
Anayetaka kununua PINGU, si shida kabisa.

Nyie wote mnaoweweseka eti kuwa na pingu ni BIG deal, haya oneni hapa.

http://everythingelse.shop.ebay.com...dcuffs&_catref=1&_fln=1&_trksid=p3286.c0.m283

handcuffs_52297d.jpg


5588470.jpg


Ukiingia nchi za wenzetu na kufika kwenye Sex shop kama hapa alipokuwa Michuzi, utapata pingu za kila aina na nyingine had zina Bling bling. Sasa kuuliza eti pingu za nini ni kichekesho. Ukitaka kumfunga mtu si lazima utumie PINGU za chuma. Kuna zile plastic za kubania waya, zinatumika sana kama pingu. Mtu pia anaweza kutumia kamba za kawaida. Pingu si silaha kwamba kama mtu anayo basi atauwa kama ilivyo bastola. Hii kitu iko low saaaana. CHADEMA mchangamkieni kijana na mjizolee point.

STA70161.JPG


Mkamateni basi na Michuzi kwa kununua SILAHA ya kubakia.http://everythingelse.shop.ebay.com...dcuffs&_catref=1&_fln=1&_trksid=p3286.c0.m282
 
Yule mhasibu wa zamani wa Halmashauri ya Bagamoyo ana sababu gani ya kumng'ang'ania Jerry pamoja na matatizo yoote aliyonayo kwa sasa?
Hawa matapeli wengine wawili waliokamatwa wakiongea itakuwaje?
Jerry amekutana na huyu mhasibu mara ngapi, wapi na katika mazingira yapi?
Mwambieni Jerry atulie, aache kuweweseka. Vyombo vya habari kwa sasa sio msaada sana kwake. Atafute Lawyers wazuri tu au aombe huruma ya watawala wetu.
 
Nimefuatilia hii kitu toka jana na sijui wisho wake ni wapi.na nimemuona Kova akiongelea suala lingine kabisa badala ya rushwa.Napata maswali mengi huyu mzee anayesema alisahau miwani yake kwenye gari ya Jerry ilikuwa ni lini?Na kama Jerry anakataa kutokumfahamu huyo mzee si wakafanye DNA jamani kugundua kama huyu mzee alipanda kwenye hiyo gari ili tujue nani muongo kati ya Jerry na mlalamikaji.Watanzania tunahitaji kujua ukweli maana toka Jerry kaanza kurusha vipindi vyake tulisema huyu dogo anajitengenezea balaa sasa tumeliona na hata halieleweki.Hao watu wawili wanasemaje maana Kova aliahidi kutoa maelezzo leo.mliopo nyumbani tusaidieni kujua kama keshatoa.
 
baada ya kufatilia hii habari ya huyu jamaa

nahisi:


  1. Jerry ni usalama wa taifa
  2. Police wamefanya setup af wameikosea sana, wamaiharakisha, wameirukia na sio wataalamu wa kuset vitu vzr; sbb
    • mtego wa rushwa hupangwa na wakamataji huwa ni PCCB(hawakushirikishwa)
    • leading ishu iliapaswa iwe ni rushwa lkn police wamekamatia ishu ya pingu na risiti ya silaha (na hawajajali kuomba kibali)
    • siku zote kesi zote huwa zinaenda mahakamani baada ya kuwa prosecuted (wanatuambia fail limeenda kwa mwanasheria mkuu sijui nani nani-HOW?????WHY??????)
    • Kova anaonyesha hajui chanzo cha hili sakata 'lilosukwa' maana wasusi ni wengine, kwavile alitakiwa atoe statement , kakurupuka tu badala ya kuinvestigate ye mwenyewe(alikuwa na uwezo wa kutooonge haraka vile sbb hakuna sheria inayo mtaka atoe tamko wakati gani), na kwavile mapolice wetu wamelelewa kisiasi basi kaona aongee tuu ili kuficha maovu(kuwakingia kifua wanawe 'WACHAFU' ) ZOMBE STYLE
  3. kama Jerry si usalama wa taifa.. ajiandae kweli kweli maana nahisi aliingia kwenye hii vita bila kujiandaa...sasa hivi utasikia kesi iko mahakamani...atashinda akitoka KISU(fef..ADAM MWAIBABILE ishu)
  4. kama Jery ni usalama wa taifa basi ishu itaishia hivi hivi juu juu
  5. info kuhusu kakamatiwa wapi inachanganya (City Garden au Sea Cliff???)
Jerry anatakiwa atulie sana kabla ya kuidaka hii ishu, kama wamemkosa saizi ajiandae, naashukuru hii attempt ilikuwa ni ya 'kumlisha' rushwa.. the next step hawa jamaa wanamuondoa duniani (hii nchi inatawaliwa kimafia toka juu mpaka mwisho)

Namshauri Jerry aishi kikomando...nani kaona movie ya HITMAN utanielewa nasema nini
 
Sioni kosa kwa Jerry kusema Kova ni mtu mdogo. Unajua watanzania tunakosea kuwapa kichwa hawa viongozi wetu na hii culture at the end of the day inatuumiza sisi. Hawa watu wako madarakani kutulinda sii na kufanya what is best for us. But this culture ya SYSTEM inawapa kichwa kufanya lolote baya thinking they are above the law. Hawa wote ni watumishi wetu, tumewaweka hapo watufanyie kazi kwa sheria na sio kutukandamiza. Power to the people lets bring that back.
 
Sioni kosa kwa Jerry kusema Kova ni mtu mdogo. Unajua watanzania tunakosea kuwapa kichwa hawa viongozi wetu na hii culture at the end of the day inatuumiza sisi. Hawa watu wako madarakani kutulinda sii na kufanya what is best for us. But this culture ya SYSTEM inawapa kichwa kufanya lolote baya thinking they are above the law. Hawa wote ni watumishi wetu, tumewaweka hapo watufanyie kazi kwa sheria na sio kutukandamiza. Power to the people lets bring that back.
Join Date: Tue Apr 2009
Posts: 10
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
 
Join Date: Tue Apr 2009
Posts: 10
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0

pepe hiyo ni kitu ya kawaida kabisa humu kuna watu wapo kama watazamaji tu kwa miaka mingi, na mara mojamoja watacomment kama ikiwauma sana na pia kuna wengine wana ID zaidi ya moja kwa hiyo hiyo wala sio deal

deal ni kwa nini bwana Michael hakuwaita TAKUKURU kwa hiyo issue yake ya rushwa, picha hainipi kabisa issue ya rushwa kuipeleka police, wakati kwa maelezo yake anasema jamaa walijitambulisha kama ni watu wa TAKUKURU?

sasa kama siku kadhaa zilizopita alishatishiwa maisha na kina MURO kwa nini asingeenda kufungua charge police na police wakafanya setup yenye uhakika, inakuwaje Kova na wenziwe wapigiwe simu siku ya tukio na moja kwa moja waende kuvamia gari la muro?

hii imekaaje, huyo bwana Michael baada ya police kufika kwa nini asingeenda kumpa fedha hizo bwana Muro na badala yake akaanza kuelezea vitu alivyonavyo navyo bwana Muro (Pingu na Pistol)

kuna dot nyingi zinashindwa kuunga hapo
 
Washikaji mambo vipi?
Hivi karibuni Mwandishi Guru wa habari za Rushwa, Ndg Jerry Murro aliwekwa chini ya ulinzi wa jeshi la Polisi kutokana nan Tuhuma za Kuomba Rushwa ya Tsh 10Mil, na pia kukutwa ta Pingu isivyo halali. Kwa Mujibu wa kamanda Kova, iwapo itadhibitika kuwa ni kweli, ni kwamba Jerro anakabiliwa na Kifungo cha Miaka Mitano Jela. Hebu tuambiane, je haya ni matokeo ya kazi zake mbili zilizobainisha uchafu wa traffic dhidi ya Rushwa au Ni kweli kuwa Mshikaji alikuwa na Sura Mbili Tofauti moja ya uzalendo na moja ya Kishenzi? Kandamiza Maoni yako Mwanawane
 
kWENDA ZAKO, Unataka waabudiwe kwa wao kina nani? Alikuwepo Mahiya hapo, yuko wapi? Zombe yuko wapi. BRRRRRRRRRRRRAVO Jerry, tuko Pamoja
 
Back
Top Bottom