Video: ITV News ya UK yapeleleza biashara ya NDOVU nchini, yawarekodi wauzaji bila ya wao kujua...

Polisi inabidi wakamate hawa watu mara moja

Kutokamata hawa watu itakuwa aibu kwetu, hakuna nushahidi mkubwa zaidi ya huu.

Inauma sana kuona maliasili yetu inapotea hivi hivi. watu kama hawa wanastahili kifungo cha maisha

Ile operesheni tokomeza mimi binafsi niliipenda. Kuna kipindi Gewe aliwahi fanya operesheni kama hiyo Iringa na ilifanikiwa sana

Hawa majangili wakikutana na askari wanamuua, kwa nini wao wasipigwe risasi za makalio??
...kumbe kuna magamba yana akili kama zetu? nimeshangaa kweli! ngoja nikuumize zaidi kwa kukumbusha lile dege la Qatar lililopakia sio pembe, bali wanyama wazimawazima. Usalama wa taifa wako busy kumdhibiti Dr asifanikiwe kuingia ikulu asije akaharibu madili yao.
 
Kamata Kinana, ndiye kuwadi mkuu, na bingwa anayeifanyia CCM kazi ya kuuza pembe zote za tz kwa fedha haram za wizi WA nyara za umma kwa manufaa ya CCM kujizibiti ktk uchaguzi mkuu 2015! No way, kamata Kinana, then all other problems solved permanently!
 
Tembo kafa.jpg Tembo kafa.jpg
hii ni kazi ya kinana na kijana wa jk ridhiwani, Rais aseme nini?..........wanae yuko kazini
kufikia mwaka kesho anapong'atu atakuwa amewamaliza
 
Hii ni kashfa kubwa kwa Viongozi wetu na Sisi Wananchi.
Tusipokuwa makini Vizazi vijavyo hawataridhi kitu.
Sheria zilizopo ziimarishwe na ujangili huu uwe Janga la Taifa.
 
Usalama wa taifa umeshidwa fanya kazi yake ipasavyo, Kwa video hiyo.....Mkuu wa usalama wa taifa inabidi ajiuzuru kupisha watu wengine wanaoweza kazi
 
Yani kwa nchi yetu hii imetumia jeshi,polisi,askari wa wanyama pori na bado wameshindwa wakati wenzetu hiyo kazi waandishi wa habari wangeweza kuimaliza tu chapchap
 
Hivi kazi ya wanausalama wa Taifa letu ni ipi zaidi? Yani nyara za serikali zinapukutika mpaka waandishi wa habari wa nje wanaweza kung'amua taarifa kama hizi kirahisi.
 
'Conservationists say the Wildlife Division is the most corrupt government agency of all, and accuse its officials of selling seized ivory on the black market' The names of the big traders in Dar are well known. They include some of the country's richest businessmen, backers and members of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party, and even a close relative of President Kikwete. But they have powerful friends - and judges, prosecutors and police are easily bribed.
The thousands of Chinese now working in Tanzania fuel the trade. Some of the major ivory traffickers in Dar are said to be Chinese. So are many of the middlemen. Last November, three Chinese men were caught at their home in Dar with 1.8 tons of ivory hidden among sea shells filled with garlic. A Channel 4 documentary claimed that when Hu Jintao, the then Chinese president, visited Tanzania in 2010, his officials took illegal ivory back on his plane.
Conservationists say the Wildlife Division is the most corrupt government agency of all, and accuse its officials of selling seized ivory on the black market. They accuse the government of submitting fabricated figures to sell more of that ivory on the international market, ostensibly to raise money for conservation but in reality to fill the CCM's coffers before next year's elections.
Thursday's summit is being hosted by the Government at the behest of the Prince of Wales and Duke of Cambridge. Charles will address the event and Prince William, who spent some of the happiest months of his life in Africa during his gap year and proposed to his wife on a Kenyan reserve, will be by his side.
Environmentalists are hoping that the summit will highlight Tanzania's lamentable record. 'The government has not yet got serious about this,' said one activist. 'There's too much collusion and profit and vested interests at high levels. The only thing that will make them act is international shame and disgrace.'
[h=2]The plundering of Asia is another challenge for Charles[/h]Comment by Mark Shand
In my 30 years working in conservation, there has never been such an unprecedented threat to world wildlife. The illegal wildlife trade is now worth an estimated £6 billion a year, and it's growing.
For the criminals who hack off the faces of animals and mutilate their bodies to feed the relentless demand for wildlife parts in countries like China and Vietnam, the animals are merely a commodity in a low-risk, high-profit industry. And many of the stories never make headlines.
Last year I accompanied the Prince of Wales on part of his trip to India, planning to highlight the work of my charity Elephant Family, and show him what remains of Asia's incredible wildlife.
article-2554773-005F8FB01000044C-39_634x450.jpg
icon_camera_90x68.png
+5

Britain's Prince of Wales stands near two elephants during his stay in Bombay, India, November 5, 2003 There he met the real heroes, the people who risk their lives every day to protect Asia's wildlife, and the message was clear: the threat of the wildlife trade is not confined to Africa.
The Prince has always fought to get the issue on to global agendas and has been key in galvanising action against it. Now he has another formidable ally - the Duke of Cambridge. We hope this week's summit in London will focus on Asia's wildlife as well.
Poaching is devastating Asian elephant herds in India and now there are thought to be only 1,200 breeding males left.
Then there is the sinister trade in live baby Asian elephants in Burma, ripped from the forest and smuggled into tourist camps across the border in Thailand. Tied up and tortured, the calves are subjected to a 'taming' process so brutal that many die from trauma or their injuries. Burma will lose its elephants in the next 30 years if we don't stop this trade.
But it is not only the elephants that suffer. India lost 41 of its rhinos last year, from a population of just over 2,500.
Asia's big cats are being annihilated for their skins and bones (there are as few as 3,200 tigers left on the whole planet), while thousands of bears languish in cramped cages across the continent, agonisingly and repeatedly milked for their bile.
The little-known pangolin - a sort of anteater with scales and thought to be the world's most traded wild mammal because of its culinary and medicinal value in China - is disappearing from the forests, along with thousands of other endangered species.
Many of the major criminal networks behind the illegal wildlife trade are based in Asia. We need to take urgent action, prosecute the kingpins and reduce demand. Governments must make substantial funding available now, to equip those on the front line to fight. And we must call for an end to all trade in endangered species, before it's too late.
If I had one wish, it would be that China would educate its people that ivory only ever looks good on an elephant, tiger parts do not enhance sexual prowess in humans, rhino horn will not cure your hangover... and that all these species are worth more alive.
 
Yaani nawashangaa wanancji ambao mpaka wa leo bado tuu wanaichagua CCM.Sijui wamerogwa na nini.Na ndio hao hao utawasikia wanalalamika maisha magumu!!
 
Polisi inabidi wakamate hawa watu mara moja

Kutokamata hawa watu itakuwa aibu kwetu, hakuna nushahidi mkubwa zaidi ya huu.

Inauma sana kuona maliasili yetu inapotea hivi hivi. watu kama hawa wanastahili kifungo cha maisha

Ile operesheni tokomeza mimi binafsi niliipenda. Kuna kipindi Gewe aliwahi fanya operesheni kama hiyo Iringa na ilifanikiwa sana

Hawa majangili wakikutana na askari wanamuua, kwa nini wao wasipigwe risasi za makalio??
Tatizo Watanzania tunajivisha Uchizi! Nani asiyejua kuwa,baadhi ya watuhumiwa wa biashara ya meno ya Tembo wamefichwa kwenye uongozi wajuu wa vyama vya siasa nchini? Halafu eti wanatuma askari porini kuwasaka wakati watuhumiwa wameachwa mjini! Haya pamoja na kutumia gharama kubwa ya kulipa askari,wamekamtwa wangapi?Acheni hizo bana!
 
Niliwahi kusema Tanzania hatuna waandishi wa habari bali tuna watu wa kuripoti habari, kuna jamaa alinibishia sana. Sasa jioneeni wenyewe.
Inashangaza jinsi ya wanahabari kutoka nje wanaweza kuja hapa kwetu kufuatilia, kuchunguza na kisha kuandika habari kama hizi wakati waandishi wetu hapa wapo na mara nyingi wanaandika habari ambazo hazina tija na taifa hili bali huandika na kushabikia mambo ambayo yanakwamisha maendeleo ya Watanzania!
 
Wako wanakunywa bia na kuchukua machangudoa. Hawa watu walishindwa kuwalinda ndugu zetu maalubino leo waje kulinda Tembo? Nakumbuka hata sakata la maalubino kuna mama kutoka BBC alifika hadi kwa mganga anaye nunua viungo lakini serika ya chama chetu ilikaa kimya kwa sababu ni deal zao
Hivi kazi ya wanausalama wa Taifa letu ni ipi zaidi? Yani nyara za serikali zinapukutika mpaka waandishi wa habari wa nje wanaweza kung'amua taarifa kama hizi kirahisi.
 
Back
Top Bottom