mbona kama yanayosemwa jf ni tofauti na mtaanimko bread finders wawili
It's unfortunate hizi mbuzi za design hii ziko nyingi sana sasa hiviWengi mnamjua kama Diva The Boss, huyu Mwanamke anajiita Rihanna na pia bila kusahau anajiita Beyonce.
Huyu Beyonce wa Bongo hataki kumpikia wala kumfulia Mume wake, kwa mujibu wa hii Video.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2885920
📹 ZamaradiTv
Maisha ni kuchagua. Kachagua wa hivyo acha akonde. Japo mitandao ndio inawaharibia mabinti wengi. Kuna binti akiiona hii anajua haya ndio maisha na yeye siku akiolewa hataki kupika hata kama ni mama wa nyumbani kbe mwenzie nimtafutaji anachoka kitu abachi kinaingia akilini.
Tungatie hili wakuu, ukioa mfanyakazi yaan mnaishi ndani mko bread finders wawili, basi ukubali pia kugawana baadhi ya mamlaka, maamuzi, na mengine. Huwezi kuwa na power sana na yule aliyeoa mama wa kulea watoto home. Huyu Beyonce inaingia akilini kidogo maana nae anatafuta. Shida kwa ashura nae atataka kufanya hivyo wakati kila kitu anapewa na mumewe
Mae...Wengi mnamjua kama Diva The Boss, huyu Mwanamke anajiita Rihanna na pia bila kusahau anajiita Beyonce.
Huyu Beyonce wa Bongo hataki kumpikia wala kumfulia Mume wake, kwa mujibu wa hii Video.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2885920
📹 ZamaradiTv
Poapoa mzeiyaNgoja nirekebishe Mkuu
Hata mimi nimemshangaaHuyo Diva mbona hana mtembeo wa kike??...
Ni kweli ila wapo wabinti wanaishi kwako kama anafanya kazi inamaa ni ya kwako ukimuoa wewe ndio utampa kazi ya kufanya vinginenyo atabaki home. Wengi wanaofanya kazi unakuta alishaanza kujitegemea anaishi kwake, ogopa sana hao. Ndio maana kuna uzi humu mwana alishauri mke mtoe kwao sio geto kwakembona kama yanayosemwa jf ni tofauti na mtaani
mtaani naona kila ke anafanya kazi, hakuna mama wa nyumbani
au tulioko nje hatujui ya ndani