Video: Hii ndio Crane aina ya XCMG yenye uwezo wa kubeba Tonne 100, imagine ya 26 Tonnes ikoje

Duuuh, kwahiyo kuletwa ibebwe, kurudishwa ibebwe 🤣🤣😂😂

Terminology ngumu zinatumika ilimradi zituchanganye tu. Vinaweza kuja vipande vipande vikaungwa hapo hapo site ( kwa gharama yetu).

Bughudha yote hii utakuta consultant, mkandarasi, project manager na wadau wahusika wanasubiria mshahara na wapo site. Ni kweli hili hawakuliona tokea awali?
 
Terminology ngumu zinatumika ilimradi zituchanganye tu. Vinaweza kuja vipande vipande vikaungwa hapo hapo site ( kwa gharama yetu).

Bughudha yote hii utakuta consultant, mkandarasi, project manager na wadau wahusika wanasubiria mshahara na wapo site. Ni kweli hili hawakuliona tokea awali?
Ukipekua Sana Unakuta Watanzania Na Kampuni Zao Wanatupiga Tu Taratibu
 
DB6A0F87-F1E0-4A9D-85E0-2E020FE553FE.jpeg
 
Back
Top Bottom