Hata usalama wa Taifa ,viongozi wa vyama vya siasa ,manjagu na wengine tele wanafaidika na michango yangu.
Askofu Gwajima amejipa heshima na kuuenzi utukufu wa imani iliyomo ndani ya Kanisa lake kwa kukataa kuitika matakwa ya Watesaji, Wadharimu na Waongo wa dola ya Nchi hii. Heko Gwajima
anasubiri aundiwe tume...KAMANDA MSANGI akiwa mwenyekiti wa tume
Hivi ni kwanini hakufikiria huyu jamaa akamatiwe pale Mtambani?Labda wangesitirika kidogo :wacko:
Sasa kwanini Mchungaji alisubiri muda mrefu hivyo Mpaka kamanda KOVA akapongezwa kwa kazi nzuri?
Hii kweli inatuchanganya sisi wananchi; Huyu Mchungaji angeliongelea hili Jambo siku hiyo hiyo walivyoita polisi
Tired of this ball throwing now
Hao "TISS" labda wanadhani kanisa limehusika kwenye mgomo wa madaktari,ama wanaamini kulisingizia kanisa ni sawa na chadema,hawa watu unaweza kusoma mawazo yao ya kijinga lakini hatari.Hii vuta nikuvute itakuja leta sintofahamu nyingi tu.Cha muhimu,justice should prevail,but I doubt it will under this regime.