Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Tatizo ni kuwa ameshindwa kuifanya hiyo kazi ya utetezi vema
Hueleweki kwa kiasi fulani, ila watu wanaojua kunalyse na kusoma mawazo ya uandishi watajua ni nani unamtetea!!!!
Tatizo ni kuwa ameshindwa kuifanya hiyo kazi ya utetezi vema
Hueleweki kwa kiasi fulani, ila watu wanaojua kunalyse na kusoma mawazo ya uandishi watajua ni nani unamtetea!!!!
Kikwetu ndio kabila la mkoa gani?KOVA kwa kwa kikwetu/kikabila chetu ni MTU ALIYELAANIWA!
Kweli majina HUUMBA!
Gwajima hajapigia msitari bali wewe ndio unapigia kwenye jibu ambalo si sahihiGwajima alitumia muda mwingi kuelezea jinsi mkenya aliemteka ulimboka alivyofika pale kanisani kwake na kutaka kuonana na uongozi wa kanisa hilo.baada ya maelezo yake akatoa maoni kwa mtizamo wake kama ambavyo wana JF tunafanya hapa kila siku.
Maelezo ya GWAJIMA yalikuwa marefu kiasi kwamba mengi aliyoyaeleza alionekana kufafanua kwa kina maelezo na taarifa ya KOVA kwa kuwa KOVAS asingeweza kupata muda huo.
kumbuka Gwajima ameongelea kanisani wakati KOVA ameongea na waandishi wa habari.
My take; Mkenya ahojiwe vizuri aeleze kwanini walimtesa DR ULI.
Gwajima alitumia muda mwingi kuelezea jinsi mkenya aliemteka ulimboka alivyofika pale kanisani kwake na kutaka kuonana na uongozi wa kanisa hilo.baada ya maelezo yake akatoa maoni kwa mtizamo wake kama ambavyo wana JF tunafanya hapa kila siku.
Maelezo ya GWAJIMA yalikuwa marefu kiasi kwamba mengi aliyoyaeleza alionekana kufafanua kwa kina maelezo na taarifa ya KOVA kwa kuwa KOVAS asingeweza kupata muda huo.
kumbuka Gwajima ameongelea kanisani wakati KOVA ameongea na waandishi wa habari.
My take; Mkenya ahojiwe vizuri aeleze kwanini walimtesa DR ULI.
Hemed msangi,zocka,kova,tuanze na hawa kwanza,then ndio turudi kwa huyo kichaa kutoka kenya!!msitake kutuvuruga,tupo karibu kabisa na ukweli.
Awe na moyo na akili kama ya mwendawazimundio maana tunasema mtu anayeitetea Serikali hii lazima awe na ujasiri wa ziada maana anayoyatetea anajua kabisa ni uongo na matokeo ya uongo ni aibu
sio haso tu hata mkuu wa nchi na wapambe wake wa karibu wana A/C. zao hapa JF. kwa kutumia fake ID's.Wana Jamii Forums mnatisha, kweli huu ni mtandao wa Ma-Genious.
kama umesikiliza vema maelezo ya Mch. Gwajima jana, utagundua waziwazi kuwa, nukuu zake muhimu
zilitokana na michango ya wana-JF. Ukianzia issue ya yule Mafia-ACP Msangi, mpaka habari ya ndani kabisa ya migomo ya madaktari. Hii inaonyesha kuwa JAMIIFORUMS ni tegemeo hata kwa wakuu wa Dini..BRAVO!!!!