MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,913
- 9,012
Naona unatema kisusio, kashushie na mbegePovu, haya kanywe maziwa!
Naona unatema kisusio, kashushie na mbegePovu, haya kanywe maziwa!



Hilo nalo neno ila akaze vyuma, tumepwaya sanaHuu ni mfumo wakawaida tu, unatumika sana West Africa kama unavoona akina tecno,olomide,davido,wizkid wanavofnya diamond mashindano yake ni dhidi ya hawa watu kaona kma Tz tunapwaya kimataifa dhidi ya hawa Wa nigeria maana wanatoa nyimbo kila kukicha
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app



sijui ndio alifanya wizkid baba nla? samahani mkuu naomba unisaidie jina la yule video vixen wa ENEKA anolotumia instagram please... very urgentHaya mabeat yalianzia kwa Ycee - omo alhaji
wakati IF inatoka nilidhani ni wimbo wa Ycee
zinafanana sana
Sent From my C5 wereva
ngoja diamond huwaga ana wapaga S/O bado hatujajuasamahani mkuu naomba unisaidie jina la yule video vixen wa ENEKA anolotumia instagram please... very urgent
Yeah...every bud knowzpamoja na kuwa kwenye video Domo huwa hafunikwi na mtu.
tuwe wakweli, producer wa Diamond hii biti ka sample kwa Davido -fall, halaf alishindwa hata kuweka isi sound suspicious. kuna tatizo kubwa sana kwa huyu producer wa WCB, uwezo wake si mkubwa pia ana lack ubunifu, japo si producer mbaya.
Tunashindwa kuwa wabunifu kwenye beats na tunashindwa kujiuliza mbna studio ya MJ recods aijawahi kuinga beats za njee....tuwe makin kuchambua beats za wasanii wetupamoja na kuwa kwenye video Domo huwa hafunikwi na mtu.
tuwe wakweli, producer wa Diamond hii biti ka sample kwa Davido -fall, halaf alishindwa hata kuweka isi sound suspicious. kuna tatizo kubwa sana kwa huyu producer wa WCB, uwezo wake si mkubwa pia ana lack ubunifu, japo si producer mbaya.
Beat pia inaendana na ile 'Mad over u' ya RuntownHaya mabeat yalianzia kwa Ycee - omo alhaji
wakati IF inatoka nilidhani ni wimbo wa Ycee
zinafanana sana
Sent From my C5 wereva
hio sijaijua badoBeat pia inaendana na ile 'Mad over u' ya Runtown
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Hahaha ulvomkomalia uyo laizer...angekuckia nahc angeacha uwcbHilo nalo neno ila akaze vyuma, tumepwaya sana
anatakiwa akang'ate kule kule wanapong'atia wao ,kma kwa tecno au selebobo mbona tutaenda nao sambamba
huku kwa lizer mimi sipaelewi
Sent From my C5 wereva
Dogo yuko vizuri jombaa.
Sent from my LG-H815 using JamiiForums mobile app