Video: Diamond Platnumz-Eneka (Official video)

Video: Diamond Platnumz-Eneka (Official video)

Huu ni mfumo wakawaida tu, unatumika sana West Africa kama unavoona akina tecno,olomide,davido,wizkid wanavofnya diamond mashindano yake ni dhidi ya hawa watu kaona kma Tz tunapwaya kimataifa dhidi ya hawa Wa nigeria maana wanatoa nyimbo kila kukicha

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Wacha wewe
 
Huku kuachia ngoma nyingi n dalili ya kutojiamini

Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app
sio kweli akina Beyonce, Future, Drake, Wizkid, Davido pia hawajiamin mbona ngoma zao ziko heat vibaya mno
 
Tutakavyo kuwa tunaachia jiwe la 3 mwezi ujao kuna mtu hash tag zitakuwa wimbo wake ujaoo.....

Shikamoo Diamond!

Sent from my SM-N910P using JamiiForums mobile app
 
Kuimba tuu kingereza Inatosha

Sent from my SM-N910P using JamiiForums mobile app
 
Dogo ameanza kutuharibia Bongo Fleva yetu na Identity ya Watanzania.

Kwasasa sijui ana andikiwa na Wana Nigeria?
Jameni tunataka Bongo Fleva yenye radha ya ile ya mwaka 2004 to 2007...

Vailet ya Matonya Jameni...
Acheni kutuharibia muziki na ma Video tu.

JMP KAMATA WEZI
 
Eti Fall mfyuuuuuu kwani hii nyimbo wameshoot lini na Fall imetoka lini?na hii wameshot lini? Msiwe maropoka ropoka tuuu

Sent from my SM-N910P using JamiiForums mobile app
 
Fall by Davido

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Ukisikiliza wimbo wa davido If na fall beat ni kama zinaendana sana na nikisikiliza hii ya Chibu mmmhhhj nashindwa kutofautisha beat but ngoma ni nzuri ubunifu wa kideo uko poa na chibu ni chibu na davido ni davido otherwise hayo mengine watajuana wenyewe huko.....
 
Diamond aanze kutoka nje ya Wasafi Studio

Sound yake Na vijana wake imeanza kuchosha inabidi ajaribu kuanza kurecord Na maproducer wengine wa ndani
 
Wow People bitch abaut everything...



Sent from my Diamond Rose Iphone 32 GB using JamiiForums Mobile App
 
Noma saaanaa aisee...huyu jamaa anajua jameni!

ur my beautiful baby aeeeeeeee talatala aeeeeeee...

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
kwa huyu jamaa hata kama atoe ngoma ya aina gani lazima apondwe.....mimi nimeanza kusikia madongo toka nyimbo yake ya kwanza....sema utimu ndo unaharibu music na chuki zisizo na msingi kwakweli.....ndo mana mkapa anasema watanzania tu wapumbavu
 
Huku kuachia ngoma nyingi n dalili ya kutojiamini

Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app
Anatakiwa atoe wimbo kila baada ya muda gani ili aonekane anajiamini?
 
Dogo ameanza kutuharibia Bongo Fleva yetu na Identity ya Watanzania.
Identity ya muziki wa ki-TZ ni upi?
Pamoja na hilo msanii mmoja hawezi kuharibu identity ya WaTZ, labda ukubali jamaa ana impact kubwa kwenye muziki wa TZ kuliko wasanii wote.
 
Back
Top Bottom