Video: Angalia Bodaboda alivyogongwa na Mwendokasi

-hawa madereva wa mwendokasi wanahitaji busara na utu sana wakiwa city center
-hawa bodaboda nao wanafamilia wanapigania mkate viongozi wetu wakuweka sawa haya mambo wao full ac huko
-miundombinu yetu sio ya kueleweka sisi tuliobadilisha vichochoro kua barabara tunatesana tu
-ila nchi hii laana tu yani kama tumeshindwa kuweka vizuizi kwenye railway itakua mwendokasi mbona kama najitesa kutoa ushauri mlaaniwe wenye mamlaka pateni utajiri lakini mlaaniwe kuku nyie

MADEREVA WA MWENDOKASI ACHENI UHURU KUJIONA MKO NDANI YA TRENI MIUNDOMBINU YETU INAINGILIANA SANA BILA VIZUIZI VYOVYOTE SERIKALI ACHENI KULALA KUNGEKUA NA KIZUIZI PALE TENA CHA GATE BODABODA ANGESIMAMA MNANUNUA MAGARI YA KIFAHARI TU NYAU NYIE

-NAAMINI KUIBADILISHA NCHI HII KAMWE USITEGEMEE CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA NI LAZIMA ITOKE NDANI YA MTU MMOJA AJITOLEE MAISHA YAKE KWAAJILI YA NCHI HAWA MAFISADI HAWA KUPITIA VYAMA HAMNA KITU
Sioni kosa la madereva wa Mwendokasi.Kwa hili kabisa unaona kama mwenye bodaboda alitoka kule kwa kasi bila hata kufunga breki kuangalia pande zote,lakini akaona ni kupita tu.
 
Haya mabasi ya mwendokasi yatatumaliza watanzania au ndiyo kafara za wachina

Jamani me napendekeza huu mladi ustopishwe tutumie Daladala pekee
Nikadhani utasema boda zipigwe stop maana ndizo zinazomaliza watu.


Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,
Mwendokasi pamoja na mapungufu yao yote ila huwa wapo makini sana madereva Hasa kuwakwepa Hawa boda wapumbavu.
 
Kwa scenario kama ya hiyo ajali unadhani abiria na dereva wake hawakua wanaangalia hali ya usalama??

Ajali mara nyingi huwa haionekani ni vuup chuma iko down watu mshafikia tamati ya maisha yenu.

Sasa wewe hiyo kusubiri uone hatari ndo umstue na ukimstua na yeye akubali au akate huo ushauri wao si tayari mko mochwari
Huyo Boda kazingua, huwezi kwenda moja kwa moja penye kona kwa speed. Alitakiwa apunguze aone kama kuna usalama ndio apite yeye hajapunguza hata kama alikuwa makini.

Njia niliyopitishwa haikuwa na kona kali kama ile ya yule Boda
 
bosi nani kamalaumu dereva wa mwendokasi nimesema watumie busara na utu, sababu hii miundombinu ya treni za mataili ina mapungufu usiiishie kumsema bodaboda utakuta huyo boda siku nzima anafanya kazi akili inachoka msiishie kuwalaumu hawa watu ni ndugu zetu wametoka kwenye familia zetu eti pombe, nani hanywi pombe madaktari au kwani hawafanyi upasuaji.
Unachojaribu kukitetea hakileti mantiki hata kidogo, ndio maana kuna sheria za barabarani
 
Kwa scenario kama ya hiyo ajali unadhani abiria na dereva wake hawakua wanaangalia hali ya usalama??

Ajali mara nyingi huwa haionekani ni vuup chuma iko down watu mshafikia tamati ya maisha yenu.

Sasa wewe hiyo kusubiri uone hatari ndo umstue na ukimstua na yeye akubali au akate huo ushauri wao si tayari mko mochwari
Kuna ile lawama wanatoaga watu kwa abiria "kwanini anakubali" "kwanini akumwambia asipite" watu wanasemaga hivyo hua hawana Common Sense

Mfano kama hapo walipogogwa sehemu ambapo ilibidi dereva achukue uamzi wa kusimama kwanza na kuachukua uamzi wa kupita hivyohivyi ni JUST SECONDS ni swkunde kadhaa tu yaani hata abiria ustuke Hey simama angalia kwanza hio kauli inaisha ushaivuka balabala kitambo kama atari ishatokea.
 
Haya mabasi ya mwendokasi yatatumaliza watanzania au ndiyo kafara za wachina

Jamani me napendekeza huu mladi ustopishwe tutumie Daladala pekee
Basi la mwendokasi halina kosa maana liko kwenye njia yake maalum.

Watumiaji wengine wanatakiwa wawe makini kwenye makutano; hasa sehemu ambayo hakuna taa za kuongoza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom