siku zote wanafanyaga hivi kwenye vivuko ya mwendokasi
siku zote wanafanyaga hivi kwenye vivuko ya mwendokasi
mkuu hisia gani kwani ile intersection anatakiwa aiheshimu bodaboda peke ake na ndicho wanachofundisha driving school, bodaboda wana hatia kila ajali ikitokea na mbele pale uelekeo wa mwendokasi pana pundamilia kivuko cha watembea kwa miguu unataka unambie yule mwendokasi alipaheshimu, sawa mimi nimesema madereva wa mwendo kasi bila kutumia utu hadi anastaafu ashaua bodaboda 20, miundombinu yetu sio salama.Umetumia hisia hapa,ila ukweli ni kwamba dereva wa mwendokasi hapo hana makosa
bosi nani kamalaumu dereva wa mwendokasi nimesema watumie busara na utu, sababu hii miundombinu ya treni za mataili ina mapungufu usiiishie kumsema bodaboda utakuta huyo boda siku nzima anafanya kazi akili inachoka msiishie kuwalaumu hawa watu ni ndugu zetu wametoka kwenye familia zetu eti pombe, nani hanywi pombe madaktari au kwani hawafanyi upasuaji.Mwendo Kasi Hana kosa Wala hastahili lawama!.
Huyo bodaboda ni kama kajiua mwenyewe!
Tatizo la bodaboda wengi hawajaenda driving schools kwahiyo wanachojua ni kuvuta moto na kupangua gia tu kama vile wapo majangwani ambapo hakuna watumiaji wengine wa Barbara. Sheria za usalama barabarani zinakataza mtu kuendesha chombo Cha moto akiwa amelewa au akiwa na uchovu mwingi unaoweza kumsababishia usingizi akiwa barabarani lakini naamini wapo bodaboda wanaokunywa hizo K Vanti na vilevi vingine wakiwa kazini hapo wanaweza gongwa hata na malori sio lazima mwendo Kasi.
Ni ukweli mtupu, ni wehu woteMungu anisamehe kwa mitizamo yangu na kutokuijua kwangu kesho ila Kila nkiona abiria na boda boda wake naona ni kama watu flan hawana akili wote
Nlishaacha kbsNi ukweli mtupu, ni wehu wote
Sijawahi na sitawahi kupanda hizi bodaboda, mara mia kupanda bajaj
Ni kifoNlishaacha kbs
Boda ni watanzania Wenzetu, baadhi yao, na wenzao bajaji, sioni kama ni wakuhurumia, wao wanajari kuwahi kuliko Usalama wao na wa wenzao barabarani.Hawa ndugu zetu boda boda
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Bodaboda akiwa kwenye pikipiki akili yote inahamia matakoni. Unakatishaje barabara na spidi yote hiyo, huangalii huku wala kule we ni spidi tu. Haki yakeMungu anisamehe kwa mitizamo yangu na kutokuijua kwangu kesho ila Kila nkiona abiria na boda boda wake naona ni kama watu flan hawana akili wote
Huyo ni walewaleUmeangalia video na kuielewa mkuu
Epuka boda boda ikishindikana endesha weweBodaboda akiwa kwenye pikipiki akili yote inahamia matakoni. Unakatishaje barabara na spidi yote hiyo, huangalii huku wala kule we ni spidi tu. Haki yake
Kwanini usimwambie apunguze speed au alikupa lift ukaogopa kusema??Bodaboda ni risk, lakini kuna maeneo ambayo risk zaidi kuliko maeneo mengine.
Mfano mjini kati(kariakoo, Posta) ndio balaa sana.
Juzi nilipanda Boda hapo mataa ya Gerezani anitoe Argentina, Daah alivyowasha moto akapita njia ya mwendokasi mimi rohoni nikawa najisemea leo nimepanda mtumbwi wa vimbwengo. Nashukuru alinifikisha salama, ila ile speed sio poa
SIJAKUELEWA KOSA LA MWENDO KASI NI LIPI HAPO, HILI NENO TUAACHE WANATAFUTA MKATE, TUAACHE NI WAPIGA KURA, NDILO LINALOHARIBU MAMBO MENGI.-hawa madereva wa mwendokasi wanahitaji busara na utu sana wakiwa city center
-hawa bodaboda nao wanafamilia wanapigania mkate viongozi wetu wakuweka sawa haya mambo wao full ac huko
-miundombinu yetu sio ya kueleweka sisi tuliobadilisha vichochoro kua barabara tunatesana tu
-ila nchi hii laana tu yani kama tumeshindwa kuweka vizuizi kwenye railway itakua mwendokasi mbona kama najitesa kutoa ushauri mlaaniwe wenye mamlaka pateni utajiri lakini mlaaniwe kuku nyie
MADEREVA WA MWENDOKASI ACHENI UHURU KUJIONA MKO NDANI YA TRENI MIUNDOMBINU YETU INAINGILIANA SANA BILA VIZUIZI VYOVYOTE SERIKALI ACHENI KULALA KUNGEKUA NA KIZUIZI PALE TENA CHA GATE BODABODA ANGESIMAMA MNANUNUA MAGARI YA KIFAHARI TU NYAU NYIE
-NAAMINI KUIBADILISHA NCHI HII KAMWE USITEGEMEE CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA NI LAZIMA ITOKE NDANI YA MTU MMOJA AJITOLEE MAISHA YAKE KWAAJILI YA NCHI HAWA MAFISADI HAWA KUPITIA VYAMA HAMNA KITU
Mwenyewe nilikuwa naangalia hali ya usalama mbele, endapo ningeona hali ya hatari ningemshtua fast.Kwanini usimwambie apunguze speed au alikupa lift ukaogopa kusema??
Kwa scenario kama ya hiyo ajali unadhani abiria na dereva wake hawakua wanaangalia hali ya usalama??Mwenyewe nilikuwa naangalia hali ya usalama mbele, endapo ningeona hali ya hatari ningemshtua fast.
Pia nilitaka kufika mapema nilikokuwa naenda
Magufuli alifika wapi pamoja na kujitolea maisha yake kwa ajili ya nchi hii? 😳-NAAMINI KUIBADILISHA NCHI HII...NI LAZIMA ITOKE NDANI YA MTU MMOJA AJITOLEE MAISHA YAKE KWA AJILI YA NCHI HAWA MAFISADI HAWA KUPITIA VYAMA HAMNA KITU