Nenda kwenye siasa hizi chadema na ccm au nenda kwenye ushabiki wa simba na Yanga utawaoni watu kama hao hawakosekana kwenye ushabiki wowoteKwahiyo hata wewe ni kama huyo?
Ha ha ha sya findo fiki hisyi๐คฃ๐๐๐๐ฅ
Imagine ni mwanao na baba yako.
๐๐๐๐๐๐๐kerubi wa chai jaba bana
That's very true, hata yeye kama ana ushabiki na mwanamuziki yoyote hana utofauti wa akili na huyo dogo.Mashabiki wote duniani wapo kama huyo jamaa sema ujazungunga sana