Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 20,080
- 41,575
Shuhudiaga hizi ajari tukiwa kwenye uzima tujiulize tuna jali nini?Tukio hili limetokea Asubuhi ya leo majira ya saa 3 katika Barabara ya kutoka kongowe kuelekea Twangoma.
Ambambo lori lilifeli Breki likiwa kwenye mwendo kasi.
View attachment 3651240
View attachment 3651235
View attachment 3651247
View attachment 3651247
Dereva wa Bodaboda alifariki mara tu baada ya ajali, Mpaka muda huu abiria alie panda pikipiki hiyo nae ni majeruhi na yupo hospitali kwa sasa, Nayeye pia hali yake ni tete.!!View attachment 3651244
Dereva wa lori hajulikani wapi alipo hadi sasa.
Maisha fumbo hakuna anae ijua Leo yake...
Though naishi na ulemavu wangu na maumivu yangu ya ajariii yangu Asante Mungu nipo hai Leo