Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Aya yayaaa karanga na dagaaa duh.Mkuu Scanner yako ni ya lenzi mbunuko au mbonyeo??? any way thanx for the info Sijajua ratha yake itakuwaje maana ni sawa na mtu umekula karanga kavu ambazo hazijakaangwa halafu ukaenda kula dagaa (wachache najua mtanielewa)
hahahahahaaa! kiboko hii!!LIL BOW WOW IS LIKE QUU CHILLAA THESE DAYS AU MANDOJO NA OMOKAYA.................... HATA WAMPE MIAKA KUMI HAMNA kitu
Makubwa!sasa vicky kamata ataimba nini na bow wow?
mimi siamini km viki kamata ni mwanamuziki. Sijaona anachoimba ukifananisha na mtu km jd komando yeye sanasana katumia rasilimaki zake binafsi na si kipaji cha uimbaji
Makubwa!sasa vicky kamata ataimba nini na bow wow?
Nyimbo nyingi tu za kumsifia mwenyekiti wa chama cha mapinduzi
vick sawa anaimba ila cha kujiuliza anaimba nini, jibu ni anaimba kwaya
kwayo vick si mwanamziki ila ni mwana kwaya