Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Mi Nafikiri itakuwa hivi:-
- CCM yapigishwa kwata Igunga
- Mgombea Ubunge CCM na Wasira wakataa kusaini matokeo
- Wananchi wa Igunga wamchagua Kashindye
- Dkt. Slaa awapongeza Wananchi kwa matokeo ya Igunga
- CCM yatumia Tshs 8.2 bilioni uchaguzi wa Igunga na kuondoka patupu
- Polisi Igunga yadhibiti vurugu za Green Guard
- Wananchi Igunga wakesha kusheherekea ushindi wa CHADEMA
- Viongozi wa CCM wapoteana na kulaumiana, Wasira akimbizwa India kwa matibabu
- Mbunge wa CCM Igunga ajiandaa kwenda Mahakamani kupinga Matokeo
- Wananchi wa Igunga wafanya maamuzi ya busara kuondoa utawala wa CCM wa miaka mingi
- Helikopta za CCM zashindwa kuondoka hazina mafuta. CCM wakataa kulipa moja haikufanya kazi
- Igunga kwawaka moto, viongozi wa CCM waondoka kimya kimyaUSIKU WA MANANE baada yakushindwa
- Yule aliyefumaniwa na mke wa kada wa CCM akatwa korodani.