Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,466
- 11,641
Warudishe vile vya Mr. na Mrs. Daudi
Kuhusu "listen" ipi 124 Ali ?Yaani nilikuwa nasoma nasubiribmkosoaji mkuu aseme kitu kuhusu hiyo "listen" makosa ni mengi kiasi kwamba mengine utayaruka tu dah huu ni msiba mkuu nataka nijipatie copy ya vitabu vyote hivyo niwe naondolea stress kwa kuvisoma huku nikiviweka mbali na watoto!
Acha jazba. Ona sasa na wewe unavyochapia Kiswahili!Ujiangalie wewe, umeshindwa kujibu maswali hayo ungepita kimya kimya tu.
Hata hayo yaliyochambukiwa hapo, mbona mengine yameachwa...basi andika wewe kivizuri...
Mfata mkumbo hujui chochote...eeeh
We jamaa unazingua na wewe...Uk 127 – Instruction inasema: Look at the insects: ---- sikujua kuwa siku hizi hata ua na jongoo nao ni insects.
Acha jazba. Ona sasa na wewe unavyochapia Kiswahili!
"yaliyochambukiwa" ndiyo nini?
"kivizuri".
Ni kweli wamekosea na hii inadhihirisha ni jinsi gani hawakuwa makini katika kufanya hiyo kazi.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 seems like you are dreaming. Not to that extent? Boy! Can't you see the glaring evidence? By the way, that is not even the full extent. Nimeweka MACHACHE tu. Nimeacha kibao. Kuhusu ni kitabu cha darasa gani, kwani hujasoma thread ndugu yangu?Kitabu cha darasa la ngapi hiki!?
Mapungufu yapo ndio ila not to that extent... Watch it.
here job only