Ujiangalie wewe, umeshindwa kujibu maswali hayo ungepita kimya kimya tu.
Hata hayo yaliyochambukiwa hapo, mbona mengine yameachwa...basi andika wewe kivizuri...
Mfata mkumbo hujui chochote...eeeh

kwakwel nitakujibuje zero brain kama hapo unashindwa kuona hata kwa macho, nitakua najiaibisha bure na kuikosea heshima elimu yangu kubishana na mtu ambae anaona hivyo vilivyoandikwa hapo ni yametoka magazetini na pia anaona ya kwamba ua ama maua ni jamii ya wadudu Mtu anayepewa dhamana ya kuandika vitabu vya kufundishia watoto hapaswi kuwa na makosa ya aina hii. A few spelling mistakes tungesema vitabu havikuhakikiwa.Kweli kazi ipo. Naamini havikuhakikiwa
Haiingii akilini hata kidogo Angry Bird.Mtu anayepewa dhamana ya kuandika vitabu vya kufundishia watoto hapaswi kuwa na makosa ya aina hii. A few spelling mistakes tungesema vitabu havikuhakikiwa.
Inawezekana vipi enzi za kuchapisha vitabu kwa computer zinazosahihisha mpaka grammar mwandishi mtaalamu afanye makosa yote haya!!!!!
Cocochanel kuhusu swali la kwanza, si rahisi vikawa na audio. Lakini huenda swali hilo ni la TET wenyewe zaidi. Swali la 2 -- maneno ni yangu lakini vielelezo nimetoa kwenye kitabu chenyewe. Kuhusu swali la 3, sorry, sijalielewa Cocochanel.Kwanza naomba kuuliza hivyo vitabu vinakuja na audio ta kusikiliza?
Pia ni maneno yako hayo au ya gazetini?
Kuna masahihisho pia kusaidia hata mwanafunzi akisoma gazeti ajue lipi ni lipi?
Wazo kwamba wataalamu ni walio udsm linaweza lisiwe sahihi sana Ngushi maana uandishi ni both knowledge na talent. Hata hivyo, wahusika wa TET walijinadi sana kuwa wana wataalamu toka chuo kikuu ndio maana wakasema wao ndio wanaofaa kabisa kuandaa vitabu vya kutumika shuleni.Hivi ni kweli tumeshindwa kuwashirikisha wataalamu wa hiyo lugha waliopo pale udsm na vyuo vingine mpaka walete madudu haya?
Njia nimeshazisema vya kutosha kwenye nyuzi zangu zingine juu ya jambo hili Mchanya.Mlete mada kukosoa pekee haitoshi, ulipaswa wewe uoneshe ipi njia sahihi ilivyotakiwa badala ya kukosoa tu bila wewe kutoa majibu, vinginevyo ukosoaji wako hutakuwa tofauti na huyo anayekosolewa.