Brother Jero
Senior Member
- Jan 31, 2012
- 138
- 89
10%
andika ndalichako tuma kwenda 1555898 ni bureTupe namba ya SMS , tukihitaji vichekesho zaidi
And job true true.here job only
ha hahaha basi wamefanya makusudiTangu 2014 miss chagga wanahangaika na kazi hii. Na hapa walishatoa vitabu vikaonekana vibovu wakachoma moto na kuanza upya.
kwakwel nitakujibuje zero brain kama hapo unashindwa kuona hata kwa macho, nitakua najiaibisha bure na kuikosea heshima elimu yangu kubishana na mtu ambae anaona hivyo vilivyoandikwa hapo ni yametoka magazetini na pia anaona ya kwamba ua ama maua ni jamii ya wadudu
kwaheri zero brain ..bishana na mazero brain wenzio wa lumumba ambao na wao watatetea uziro brain huu.
Ati unasemaaaa! Sitaki kuamini hiki kitu. Hao wataalamu wachunguzwe akili upesi sana. Lazima kuna jambo. Ichunguzwe malipo ya material na manpower. Lazima kuna bank accounts zimenona.Tangu 2014 miss chagga wanahangaika na kazi hii. Na hapa walishatoa vitabu vikaonekana vibovu wakachoma moto na kuanza upya.
Hiyo inasikitisha sana. Yaani hata mtoto mdogo anajua kuwa hili ni kanyaboya lakini anahofukuandika ukweli!! Very sad!!🙁🙁🙁🙁🙁🙁MWANANGU ALIKUJA NA HIKO KITUKO KWA MASIKITIKO MAKUBWA AKASEMA NAJUA MAJIBU SIO SAHIHI LAKINI NISIPO ANDIKA KAMA ILIVYO KWENYE KITABU MWALIMU ATANICHAPA SANA .wakuu ilinibidi nimpe moyo hivi: ANDIKA KILICHO SAHIHI UKICHAPWA KWA USAHIHI ULIO JIBU TAMSHTAKI ATAKAE KUADHIBU KWA KUKUONEA! kumbe kwenye vitbu ndo kuna uhaywani huo!
Mwana ccm huyo mkuu, ni wale waliokunywa maji ya bendera hata kuona hawaoni, kusikia hawasikii shida tupukwakwel nitakujibuje zero brain kama hapo unashindwa kuona hata kwa macho, nitakua najiaibisha bure na kuikosea heshima elimu yangu kubishana na mtu ambae anaona hivyo vilivyoandikwa hapo ni yametoka magazetini na pia anaona ya kwamba ua ama maua ni jamii ya wadudu
kwaheri zero brain ..bishana na mazero brain wenzio wa lumumba ambao na wao watatetea uziro brain huu.
andika ndalichako tuma kwenda 1555898 ni bure
nimecheka kwa sauti ujue MissYaani nilikuwa nasoma nasubiribmkosoaji mkuu aseme kitu kuhusu hiyo "listen" makosa ni mengi kiasi kwamba mengine utayaruka tu dah huu ni msiba mkuu nataka nijipatie copy ya vitabu vyote hivyo niwe naondolea stress kwa kuvisoma huku nikiviweka mbali na watoto!Kwanza naomba kuuliza hivyo vitabu vinakuja na audio ta kusikiliza?
Pia ni maneno yako hayo au ya gazetini?
Kuna masahihisho pia kusaidia hata mwanafunzi akisoma gazeti ajue lipi ni lipi?