Vice Chancellor UDSM huku anafika mbali

k

ipindi chetu hakukuwa na hizo mishe mkuu hii imekaziwa alivoingia anangisye, jamaa kakaza kila sehemu kwanza avoingia tu wakapiga audit moja matata watu walifukuzwa chuo walikua wanafoji risiti za ada, accountants wa baadhi ya college wenyewe waliliwa vichwa, kweli hatari
mmezoea kuvaa vijinsi vyenu eti sharobaro! Mmekomeshwaje! haha
 
Yani ukimpa mwalimu madaraka anakuja kutibua kila kitu, nimeona sasa hivi wameleta dressing code udsm, hivi chuo cha kimataifa unaletaje mambo kama hayo? Sio tu watanzania wanaosoma hapo, kuna wazungu na watu wa nchi za mbali wengi tu kipindi nimesoma hapo nilikuwa nawaona, na sio kwamba eti kuna watu wanavaa vibaya hapo chuo! La hasha, nimekaa pale miaka mitatu na sijawahi kukuta mtu kavaa vibaya kiasi cha kumkwaza mtu mwingine, yani usikae ukampa mtu wa education madaraka....

Wazo langu, waangalie tena hili swala, huu ndio mwanzo wa kukimbiza wageni kutoka mbali badala wafocus mambo muhimu, wanadili na vitu visivyo na uzito....

CC; prof W. AnangisyeView attachment 1249841
Hii inshu ililetwaga wakati Vc no Mukandara miaka ya 2010/11 yeye akasema hiko no chuo cha Kimataifa na watu wa utamaduni mbalimbali wanakuja hapo. Hilo suala haliwezekani. Watu wa Ardhi University, Chuo cha maji na wengine wakalimeza kama lilivyo. Sasa naona mzee baba naye analinywa kama lilivyo
 
mukandala ana akili sana aliona hoja ya kizwazwa hiyo , shida sahivi kila mtu anajifanya hapa kazi tu...
Hii inshu ililetwaga wakati Vc no Mukandara miaka ya 2010/11 yeye akasema hiko no chuo cha Kimataifa na watu wa utamaduni mbalimbali wanakuja hapo. Hilo suala haliwezekani. Watu wa Ardhi University, Chuo cha maji na wengine wakalimeza kama lilivyo. Sasa naona mzee baba naye analinywa kama lilivyo
 
Sasa kuvaa earphones kuna tatizo gani? Some people are frankly weird kwakweli
Inawezekana hujatembea vyuo vingi,hiyo sera ipo almost vyuo Vyote sasa sijui hao VC nao na ni Waalimu Ama la.

Naomba waongeze na Marufuku wanafunzi kuvaa earphones kila saa,vitu vingine ni ulimbukeni na ushamba tu Wala sio sense ya civilization.
 
Unaizungumzia UDSM kana kwamba kwenye hili jukwaa wewe peke yako ndio umesoma UD wengine hawajawahi kufika kabisa kwahiyo hawajui kitu.
UD ni kituko kwenye kuvaa na kama hizi marufuku hazipo basi ungeshuhudia vioja kuliko unachojaribu kutetea.
Na kama UD hawavai nusu uchi sasa hii sheria inakukereketa nini wakati unakiri jmekaa miaka 3 hujawahi kuona mtu aliyevaa nusu uchi? Na hizo kaptula ndio ukaona ndio tatizo kubwa mno kuliko kuvaa suruali? Halaf sio jeans zote hapo ni yale yenye matobo ndio marufuku.
Waambie wanaokuja wasome by laws wakishindwa kufata utaratibu watafute sehemu nyingine.
mkuu acha mambo ya ajabu hapa sioni mambo ya wazazi yameingia wapi ! tuheshimiane tafadhali... na hakuna mtu ananyevaa nusu uchi udsm, hakuna hata mtu mmoja anayevaa nguo za hovyo udsm nimekaa miaka yote pale sijawahi kutana na kitu kama hicho wadada wa pale wanajiheshimu, mimi lalamiko langu kubwa ni kwenye hizo mguo za wanaume ambapo huruhusiwi kuvaa jeans wala kaptula, upande wa wanawake hakuna tatizo lolote maana hakuna mjinga udsm
 
Sijui ni ulimbukeni au kitu gani maana unakuta wanachuo wamevaa mavazi ya KIKAHABA kabisa

Unajiuliza huyu kaja kusoma kweli au kaja kujiuza mwili?

Mtoto wa kike mwili wako ni wa thamani kubwa sana Mungu alivyokuumba , kwanini unajishusha thamani?

Kwanini unajidhalilisha mwenyewe?

Wengine hata chupi hawavai, brazia hawavai, Yani ni mavazi ya kikahaba pasee

Hao wanakuwa na mabwana wa chuo na mababu Sea Yani mashugadadi,

Ndo maana utawakuta wanasimu za bei kubwa unazani wanazipata wapi?

Ni kwenye ukahaba na umalaya!
 
Ndo maana tunawashauri vijana na watu wote usijamiane na mtu bila kwenda kupima HIV,

Usimwamini mtu kwa kuwa ni mkimyaaaa, ooh mlokole , eti umri wake mdogo atakuwa bado hajajichanga na mambo ya dunia n.k

Usimwamini mtu awaye yote kamwe

Sababu mabinti wa siku hizi wanatamaa ya kutaka fedha, hawezi kuwa na uhusiano na kijana junior ambaye anategemea boom peke yake , atakuwa na mashugadadi wa kumkatia mpunga mzito ,

Sasa hiyo minyororo maana huyo shughadadi ametembea na wangapi?

Kila safari ya kikazi anapoenda analala na mwanamke yeyote, awe bamedi, wafanyakazi wa hotel, Malaya wa mji n.k

Na huo ndo mfumo wake wa maisha kuanzia januari to December kila mwaka!

Fikiria hatari ni kubwa kiasi gani?!
 
Wakienda field sasa maofisini

Wanajilengesha kwa wanaume hatari!

Mimi huwa najiuliza kwani hawa mabinti wanajilea wenyewe?

Kwani hawana wazazi na walezi?

Kwa hiyo wazazi wameridhia binti kutoka nyumbani kwa mavazi yale?!

Kila wakati ni kutega mingo!

Halafu kwa bahati mbaya wanaume wengi huingia kichwa kichwa na kujiweka kwenye hatari kubwa!

Tatizo pia liko kwa wazazi na walezi!

Wanawaogopa watoto, hawasemi tangu upbringing ya mtoto!

Wanazani wakikemea watakuwa hawawapendi!
 
Hoja ya kupinga dresscode inaweza kuwa sahihi ila kigezo kisiwe wanafunzi wa kimataifa ambao hawafiki hata 15% ya wanafunzi wote ...huu utakuwa ni ukoloni huria
 
Yani ukimpa mwalimu madaraka anakuja kutibua kila kitu, nimeona sasa hivi wameleta dressing code udsm, hivi chuo cha kimataifa unaletaje mambo kama hayo? Sio tu watanzania wanaosoma hapo, kuna wazungu na watu wa nchi za mbali wengi tu kipindi nimesoma hapo nilikuwa nawaona, na sio kwamba eti kuna watu wanavaa vibaya hapo chuo! La hasha, nimekaa pale miaka mitatu na sijawahi kukuta mtu kavaa vibaya kiasi cha kumkwaza mtu mwingine, yani usikae ukampa mtu wa education madaraka....

Wazo langu, waangalie tena hili swala, huu ndio mwanzo wa kukimbiza wageni kutoka mbali badala wafocus mambo muhimu, wanadili na vitu visivyo na uzito....

CC; prof W. AnangisyeView attachment 1249841
Anayetoa maagizo kama haya kwa age group hizi hajui anachofanya
 
Nanina walllah hii nchi kila aliyepewa madaraka anajaribu kulite ubunifu sehemu yake ya kazi ili kumuinspire mteuzi...tutaona mengi!
 
Sasa kuvaa earphones kuna tatizo gani? Some people are frankly weird kwakweli
Kila Jambo likizidi kipimo ni hatari,fanya study mazingira ya vyuoni hata mtaani uone jinsi Vijana walivyofaa earphones full time.
Licha ya uwezekano wa kuathiri usikivu wako ina implications pia ktk utendaji kazi wako baada ya Masomo.Sio ajabu Leo kumkuta kijana anahudumia ktk ofisi huku amevaa earphones utadhani yupo studio.
 
Vyuo vingi Africa vimeanzisha dressing code mwaka huu baada ya ripoti ya uchunguzi wa BBC maarufu kama "Sex for Grades". Muanzisha uzi hujawa fair pia kwenye maoni yako. Unajielekeza kwa VC badala ya kutoa maoni yako juu ya Jambo lenyewe. Chuo haliongozwi na mtu mmoja. Kuna Senate, ambayo ndio hupitisha Mambo mengi kabla ya kuwekwa hadharani. Unataka hicho chuo kiongozwe na wanasheria?PSPA, natural science au Engineer?
 
Back
Top Bottom