Halafu ujinga uliopo ni kuanzia kwa wazazi wenyewe kwa kuwavalisha watoto tangu wakiwa wadogo nguo juu ya magoti!
Yani kuna watu wanazani kuvaa nguo za kihuni eti ndiyo kwenda na wakati


Hao wazungu mnaowaona kwenye mitandao wanaovaa kihuni ni wale wazungu ambao ni wahuni


Mzungu halisi anajua kujistiri hasa!
Wazungu siyo watu wakuchukulia kila kitu poa
Wazungu wanaishi kwa Principles.
Wazungu wanajali vitu Vidogo ambavyo sisi kwa ujinga wetu tunazani ni vitu vidogo lakini kumbe vina maana nzuri!
Mfano unapoongea au kumhudumia mtu unakaa mkao gani, lugha yako unayoongea ni ya namna gani?
Je adabu na nidhamu yako ikoje?
N.k