Vice Chancellor UDSM huku anafika mbali

Vice Chancellor UDSM huku anafika mbali

Hii si nchi ya wahuni. Ndo maana vijana wanaharibika. Unakuta kivulana kinasoma Chuo Kikuu lakini kinavaa kihuni. Halafi sisi waajiri tukienda vyuoni kujionea hatuoni wa maana. Mwisho kulalamika hakuna ajira, akuajiri nani wakati unavaa kata K. Ujinga mtupu.
 
Halafu ujinga uliopo ni kuanzia kwa wazazi wenyewe kwa kuwavalisha watoto tangu wakiwa wadogo nguo juu ya magoti!

Yani kuna watu wanazani kuvaa nguo za kihuni eti ndiyo kwenda na wakati

Hao wazungu mnaowaona kwenye mitandao wanaovaa kihuni ni wale wazungu ambao ni wahuni

Mzungu halisi anajua kujistiri hasa!

Wazungu siyo watu wakuchukulia kila kitu poa

Wazungu wanaishi kwa Principles.

Wazungu wanajali vitu Vidogo ambavyo sisi kwa ujinga wetu tunazani ni vitu vidogo lakini kumbe vina maana nzuri!

Mfano unapoongea au kumhudumia mtu unakaa mkao gani, lugha yako unayoongea ni ya namna gani?

Je adabu na nidhamu yako ikoje?

N.k
 
Wenyewe hawajui jinsi ya kupendeza.. kila kukicha na masuaruali yako ya vitambaa ya kushona kwa fundi uswede.

GM wa kampuni moja ya madini hapa mara alikua anakuja na bukta ..
Yani ukimpa mwalimu madaraka anakuja kutibua kila kitu, nimeona sasa hivi wameleta dressing code udsm, hivi chuo cha kimataifa unaletaje mambo kama hayo? Sio tu watanzania wanaosoma hapo, kuna wazungu na watu wa nchi za mbali wengi tu kipindi nimesoma hapo nilikuwa nawaona, na sio kwamba eti kuna watu wanavaa vibaya hapo chuo! La hasha, nimekaa pale miaka mitatu na sijawahi kukuta mtu kavaa vibaya kiasi cha kumkwaza mtu mwingine, yani usikae ukampa mtu wa education madaraka....

Wazo langu, waangalie tena hili swala, huu ndio mwanzo wa kukimbiza wageni kutoka mbali badala wafocus mambo muhimu, wanadili na vitu visivyo na uzito....

CC; prof W. AnangisyeView attachment 1249841
 
Halafu ujinga uliopo ni kuanzia kwa wazazi wenyewe kwa kuwavalisha watoto tangu wakiwa wadogo nguo juu ya magoti!

Yani kuna watu wanazani kuvaa nguo za kihuni eti ndiyo kwenda na wakati

Hao wazungu mnaowaona kwenye mitandao wanaovaa kihuni ni wale wazungu ambao ni wahuni

Mzungu halisi anajua kujistiri hasa!

Wazungu siyo watu wakuchukulia kila kitu poa

Wazungu wanaishi kwa Principles.

Wazungu wanajali vitu Vidogo ambavyo sisi kwa ujinga wetu tunazani ni vitu vidogo lakini kumbe vina maana nzuri!

Mfano unapoongea au kumhudumia mtu unakaa mkao gani, lugha yako unayoongea ni ya namna gani?

Je adabu na nidhamu yako ikoje?

N.k

Vyuo vikuu vya Tanzania vinakuwa political wing na kupoteza kabisa role yake ya kuwa intelligence brooder. Siku hizi havihoji lolote midihalo imekosa mvuto na kujaza wanafunzi wa sekondari ambao wanalala wakati Profs. wanaotoa mihadhara.
 
Kwa nini umelata mambo ya kizungu hapa?
Kwani kipimo cha ustaarabu wetu ni mzungu,muarabu au mchina?
Halafu ujinga uliopo ni kuanzia kwa wazazi wenyewe kwa kuwavalisha watoto tangu wakiwa wadogo nguo juu ya magoti!

Yani kuna watu wanazani kuvaa nguo za kihuni eti ndiyo kwenda na wakati

Hao wazungu mnaowaona kwenye mitandao wanaovaa kihuni ni wale wazungu ambao ni wahuni

Mzungu halisi anajua kujistiri hasa!

Wazungu siyo watu wakuchukulia kila kitu poa

Wazungu wanaishi kwa Principles.

Wazungu wanajali vitu Vidogo ambavyo sisi kwa ujinga wetu tunazani ni vitu vidogo lakini kumbe vina maana nzuri!

Mfano unapoongea au kumhudumia mtu unakaa mkao gani, lugha yako unayoongea ni ya namna gani?

Je adabu na nidhamu yako ikoje?

N.k
 
Inawezekana hujatembea vyuo vingi,hiyo sera ipo almost vyuo Vyote sasa sijui hao VC nao na ni Waalimu Ama la.

Naomba waongeze na Marufuku wanafunzi kuvaa earphones kila saa,vitu vingine ni ulimbukeni na ushamba tu Wala sio sense ya civilization.
Earphone zinakukwaza nini?
 
Mnawatetemekea sana wazungu! Wazungu my foot! Mbona wakienda Saudi Arabia wanajisitiri hata kama ni makahaba? Ukoloni una athari nyingi sana.
 
Unaizungumzia UDSM kana kwamba kwenye hili jukwaa wewe peke yako ndio umesoma UD wengine hawajawahi kufika kabisa kwahiyo hawajui kitu.
UD ni kituko kwenye kuvaa na kama hizi marufuku hazipo basi ungeshuhudia vioja kuliko unachojaribu kutetea.
Na kama UD hawavai nusu uchi sasa hii sheria inakukereketa nini wakati unakiri jmekaa miaka 3 hujawahi kuona mtu aliyevaa nusu uchi? Na hizo kaptula ndio ukaona ndio tatizo kubwa mno kuliko kuvaa suruali? Halaf sio jeans zote hapo ni yale yenye matobo ndio marufuku.
Waambie wanaokuja wasome by laws wakishindwa kufata utaratibu watafute sehemu nyingine.
Mwambie cjui ni UD gani anaizungumzia...
 
Yani ukimpa mwalimu madaraka anakuja kutibua kila kitu, nimeona sasa hivi wameleta dressing code udsm, hivi chuo cha kimataifa unaletaje mambo kama hayo? Sio tu watanzania wanaosoma hapo, kuna wazungu na watu wa nchi za mbali wengi tu kipindi nimesoma hapo nilikuwa nawaona, na sio kwamba eti kuna watu wanavaa vibaya hapo chuo! La hasha, nimekaa pale miaka mitatu na sijawahi kukuta mtu kavaa vibaya kiasi cha kumkwaza mtu mwingine, yani usikae ukampa mtu wa education madaraka....

Wazo langu, waangalie tena hili swala, huu ndio mwanzo wa kukimbiza wageni kutoka mbali badala wafocus mambo muhimu, wanadili na vitu visivyo na uzito....

CC; prof W. AnangisyeView attachment 1249841
Mbona ya kuogelea sijaiona au wamepiga marufuku! Sorry samahani kumbe ipo wapili kutoka mwisho kulia ile nyeusi na ushungi wa kijani, safi sana.
Maisha ya shule na vyuo ni tofauti na ofisi kwani kuna michezo ambayo lazima watavaa usiyoyataka na macho yatakayowaangalia ni yaleyale yaliyokataza.
Wale wa Singida vijijini na wairaki na wamasai mnaliaibisha taifa letu kuwaiga wazungu na yule anayetembea uchi na ngao yake kwenye sherehe za utamaduni hataruhusiwa kukanyaga UDSM.
 
Mmezidi kutembea matako wazi kama manyani, ndio maana mmeletewa dressing code
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom