Vibinda Digitali, Wanaume tuwe makini.....!!!!!????

Vibinda Digitali, Wanaume tuwe makini.....!!!!!????

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,257
Reaction score
22,131
digital.JPG
 
yan hawa kina dada wanatafuta kila njia kutuvutia......kama huna mvuto huna tu...bado kidogo zitatoka papuch....
 
Wanaume tunadanganywa sana, tuna bambikiwa mimba, tunadanganywa kwa mimba feki, MP feki, rangi ya ngiozi feki, nywele feki, kucha feki, kope feki, matsabury feki, wanawake feki aka mashoga! Kwa vile wamekuwa feki hatuna namna nyingine ya kufanya, nikupiga tu!
 
Jaman vizaz hv watu wanaihangaikia znaa zaid ya ufalme wa Mungu
 
mbaya zaidi wanabebea madawa ya kulevya kwenye hayo makalio feki.
 
mmh! sasa yote haya yanaletwa nini? na uzuri ni kwamba hawa magharibi aka wazungu wanajua kutushika aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom