Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
Mbona ndugai a.k.a kazi (job) anasinzia??? au anatafakari posho???
Wewe unaeangalia sura msibani ndie mwenye matatizo zaidi.
Kazamwendo ndugu. kwa mwendo huu wa kubandika kila kinachokujia kichwani utafika mbali na hiyo status yako. Inaonekana una usongo wa kuwa JF Expert within a month. keep it up
Huna haya we Dada/Mama na vibana MA*A*KO hadi msibani?; Acha kuharibu heshima ya Mtanzania wewe; Ebo
tatizolenu mmeishi sana vijijini..sasa hapo kuna tatizo gani?
Wakati mwingine kutibu makovu hakuangalii uko wapi. Bi mkubwa hakuvaa suruale utotoni na ujana ulimpita kavukavu ndo maana anauza nyago msibani. Kwa umri alionao si wakati wa kuvaa vibana ma*a*io
Eh Mungu tujaalie tupate vazi la taifa haraka lenye kulinda hadhi ya mwanamke wa kiafrika mwenye thamani
angalia ulivyotokwa na mimate hapa chiniPiga MBIZI kama imekuuma.
..then mimi na wewe nani wa kupiga mbizi?Huna haya we Dada/Mama na vibana MA*A*KO hadi msibani?; Acha kuharibu heshima ya Mtanzania wewe; Ebo
lol umeona enh tena atakuwa kaja kwa mbio za mwenge , anataka wa2 wa ishi anavyotaka yy.
tumetoka ktk jamii tofauti ndugu, usilazimishe ya gezaulole daslam bana.
Mkuu RICH OIL naomba nikufahamishe kitu ambacho sii rahisi mtu asiyetizama mambo in three dimension anaweza kukifahamu. hicho unachokiona siyo kibana makalio, ni combati ambayo ni nguo ya kazi ambayo huvaliwa na makamanda pamoja wapiganaji wao. kwani wewe hujui kama huyu mama ni mmoja wa makamanda wa jeshi la kupigania ukombozi wa wananchi wa tanzania wanaokandamizwa na mafisadi pamoja na serikali yao waliyoiweka madarakani na hapo alipo yupo kazini kumzika kamanda mwenzake aliyepata ajali akiwa vitani?? mimi kama askari ningemshangaa sana kama angetokea amevaa DERA kama ambavyo unaona wewe kuwa ungekuwa ni muonekano wa heshima. Hapo mama yuko sawa sawa kabisa mkuu wala usilete utani sisi tupo kazini wewe endelea kufunga kilemba kama mwali tuu..... mwanaume mzima hovyooooooooooooooooooooooo............................
mLETA MADA akili zake ziko kunako nyeti tu!...hawazi mbali na hapo!
NA MHESHIMIWA mbowe ANATABASAMU NINI?
angalia ulivyotokwa na mimate hapa chini
..then mimi na wewe nani wa kupiga mbizi?
Born in Magomeni mapipa mwinyimkuu St - DSM, Raised in Sinza DSM: 6 years secondary education in AZANIA BOYS DSM: 6 years (MBA) UDSM. Living In Sinza DSM since 1983. Pole wewe ulokuja kusoma UD Ukitokea MASWA ukalikita na sasa unajiona wa mjini.