RICH OIL SHEIKH
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 883
- 167
Kwa hali ilivyo kwenye picha hii kwa kweli inategemea na mtu anapenda kutazama sehemu gani ya mwili anapokutana na binadamu mwingine. Mimi sioni tatizo kabisa. Tuweke mapolisi wa mavazi kama enzi za akina Kawawa?
mbona yuko vizuri 2
unataka avaeje.
Akivaa dera anamfufua marehemu ama!? Ustaarabu wa nyumbani kwako usiulete kwenye public.
Pole mkuu, unatafuta nini ktk mavazi yake? kama siyo kujikwaza huko? Ungemwangalia kwa mwono mwingine au usingemzingatia tu! basi siku yako ingekuwa bomba!
Huna haya we Dada/Mama na vibana MA*A*KO hadi msibani?; Acha kuharibu heshima ya Mtanzania wewe; Ebo
Kwa hali ilivyo kwenye picha hii kwa kweli inategemea na mtu anapenda kutazama sehemu gani ya mwili anapokutana na binadamu mwingine. Mimi sioni tatizo kabisa. Tuweke mapolisi wa mavazi kama enzi za akina Kawawa?
Itakuwa mtoa mada ana matatizo ya kisaikolojia yanayomsababisha kuwachungulia akina dada wakienda kuoga! Au atakuwa anaiche KEKO Machungwa!
<dl class="userstats">Join Date : 2nd January 2012
Location : QATAR/DAR ES SALAAM
Posts : 23
</dl> <dl class="user_rep">Rep Power : 307
</dl>
Huna haya we Dada/Mama na vibana MA*A*KO hadi msibani?; Acha kuharibu heshima ya Mtanzania wewe; Ebo
Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako; Hata kama huyo dada ni muuza sura lakini sio mpaka misibani