Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,775
- 37,962
Weraaaaaweraaaaeapiiishyyy mamaaawambagaraamisschahgaaa!!wapii dinaaaa kamanazikoroma ukigusaa ninahomaaaYaanukitakakuchekaingiajfukutanenakinapdidyhhhhhhaaaaaaaweraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Weraaaaaweraaaaeapiiishyyy mamaaawambagaraamisschahgaaa!!wapii dinaaaa kamanazikoroma ukigusaa ninahomaaaYaanukitakakuchekaingiajfukutanenakinapdidyhhhhhhaaaaaaaweraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
haaah,haah mpwa labda makalio ya mwenzi wako...naona mods wameamua kuchakachua threads zako kwa kuzipanga vizuriMpwa ukipataushahidi wahilinjonishikemakalioompwa
Polempwahaaah,haah mpwa labda makalio ya mwenzi wako...naona mods wameamua kuchakachua threads zako kwa kuzipanga vizuri
Hii habari sio mara ya kwanza kuisikia ina maana mpk leo Polis hawajachukua hatua tu.
Huko si ndo ikulu ipo?
Duh karibu na ikulu hayo yanaendelea??
Binafsi walitaka kunikata mapanga.Nilikuwa nafanya jogging majira ya saa moja usiku.Nilipofika karibu na viwanja vya basketball wakatokea jamaa wanne na mapanga.Ni bahati tu niko fit na waliponikimbiza niliwaaacha mbali.
Ni aibu kwa eneo hili kuwa na majambazi.Hili ni eneo karibu na ikulu na polisi wa doria wanapita kila mara.
Hivi ni kwa nini polisi wasiyawekee mtego majambazi haya wakayanasa.?
hata hivo siku ingine ukishakuwa kwenye hali kama hiyo usithubutu kutembea katikati ya barabara maana ni rahisi kuwa spotted unatakiwa uwe unapita pembezoni kabisa mahali ambapo adui hawezi kukuona kwa urahisi.Duuh leo nimepita kwa mguu mida kama ya saa moja kamili hivi njia ambayo unaona kile kiwanja sijui cha mpira nilikua na kamera kubwa njia nzima roho ilikua inasita ilibidi nitembee kati kati ya barabara sidhani kama nitapita tena