Vibaka kuzunguka Ikulu, Usalama upo?

Vibaka kuzunguka Ikulu, Usalama upo?

hii taarifa ya 2010! ila mitaa hyo naskia kuna nchi nipo hapo inaitwa lebanon

Yeah Ipo mkuu, na wanarais wao, waziri mkuu na makamo, pia Yupo waziri Anayesimamia Wageni. lakini suala la uporaji ni gumu kwa kuwa njia hii hutumika mpaka saa kumi na mbili kamili na huwa haruhusiwi mtu Yoyote kupita maeneo haya Kwa kuwa kuna Wana usalama wa kutosha ambao hawanamchezo. Kuanzi Ffu,Tiss na Wengine Ambao kimuonekano tu wanajulikana kuwa ni Jamaa Wenye kombati zenye bawa kwenye upande wa kulia. Kwahiyo Hakuna Hiyo kitu ya Kukaba wala kunyang'anya
 
Taa zipo nyingi tu ila kila zikiwekwa wanazipopoa wanavunja

duh..ina maana hata wakiruhusu biashara za usiku km coco beach itakuaje?...maana beach za wenzetu usiku ni sehemu ya 'outing' na kula bata..kwetu giza na kukabana
 
Huu ni uzi wa 2010 ila watu wanachangia kama ni jambo la juzi. Je hiyo hali bado inaendelea?
 
Mtego wenyewe rahisi tu...askari wachukue gari aina ya noah na waende muda huo wa uharamia wakiwa wengi na silaha za moto. Dereva awe mwanamke na akifika hapo ajifanye gari limemharibikia najua watatokeza kichwakichwa. Kitakachofuatia ni kufumua fumua ubongo kwa risasi, baasi.

Utawasikia haki za binadamu watakapoibukia
 
hivi humu si wapo wafanyakazi wa wizara ya mambo ya ndani tunawaomba wafikishe kwa kova hii taarifa

Mbona Hata Huyu Afande Kova Tunae Humu JF 24/7! au Huijui ID Yake Mkuu? Tena Ni Member ALIYETUKUKA Humu.
 
Kaka Lukindo. Waathirika wa Ocean Road wanazidi mia tano. Pale huna cha kujitetea wakikuweka kwenye 18. Ni pori tupu na ufukwe. Wanakufanya wanalolitaka

Ufafanuzi Tafadhali Mkuu Hasa Hapo Uliposema " Wanakufanya Wanalolitaka ".
 
Polisi ndio walezi wa majambazi hao
 
Last edited by a moderator:
Nina wasiwasi GENTAMYCINE ww ni Didas Masaburi mgombea ubunge wa jimbo la Ubungo:sly:

Members Wa JF Mnapata Sana Tabu Na Mimi. Kila Siku Mnanifananisha Na Watu Halafu Bahati Mbaya Wote Ni Wana CCM Ukiondoa Wachache. Mlianza Kusema Mimi Ni Edo Kumbwembe, Kisha Mkasema Mimi Ni Nape Nnauye, Mkaja Kusema Mimi Ni Masoud Kipanya Na Sasa Leo Wewe Unanifananisha Mimi Na Mzee Masaburi. Nadhani Sasa Mmebakisha Kunifananisha Tu Labda Na Lowassa au Mbowe au Lissu au Mnyika Na Hata Barrack Hussein Obama. Watanzania Mlio MAPOPOMA ( Isipokuwa Kwa Wana CCM Wenzangu Tu ) Mna Hamu Sana Ya Kunijua ILA Haitokuja Kutokea Na Inaonyesha Ni Jinsi Gani Mnavyonifuatilia Humu. Hakika Gentamycine Ni Brand Iliyotukuka Humu Jamvini. Safi Sana!
 
Members Wa JF Mnapata Sana Tabu Na Mimi. Kila Siku Mnanifananisha Na Watu Halafu Bahati Mbaya Wote Ni Wana CCM Ukiondoa Wachache. Mlianza Kusema Mimi Ni Edo Kumbwembe, Kisha Mkasema Mimi Ni Nape Nnauye, Mkaja Kusema Mimi Ni Masoud Kipanya Na Sasa Leo Wewe Unanifananisha Mimi Na Mzee Masaburi. Nadhani Sasa Mmebakisha Kunifananisha Tu Labda Na Lowassa au Mbowe au Lissu au Mnyika Na Hata Barrack Hussein Obama. Watanzania Mlio MAPOPOMA ( Isipokuwa Kwa Wana CCM Wenzangu Tu ) Mna Hamu Sana Ya Kunijua ILA Haitokuja Kutokea Na Inaonyesha Ni Jinsi Gani Mnavyonifuatilia Humu. Hakika Gentamycine Ni Brand Iliyotukuka Humu Jamvini. Safi Sana!

Hahahaa kwahiyo ni wana CCM peke ndio sio mapopoma au sio...ila nahisi utakuwa mhaya mwenzangu wa Rurenge maana unapendq sana misifa😎
 
Hahahaa kwahiyo ni wana CCM peke ndio sio mapopoma au sio...ila nahisi utakuwa mhaya mwenzangu wa Rurenge maana unapendq sana misifa😎

Kupenda SIFA Pia Ni KIPAJI Na FURSA Vile Vile. Mimi Siyo Mhaya Bali Ni MNYARWANDA Wa Kabila Zuri LILILOTUKUKA La Tutsi.
 
hivi humu si wapo wafanyakazi wa wizara ya mambo ya ndani tunawaomba wafikishe kwa kova hii taarifa
Wafikishe ujumbe kwa Kova?

Mimi niko mwisho wa dunia, Hyderabad, India, najua kwamba Ocean Road ni chaka la majambazi, Kova, Kamanda wa kanda maalum, Dar-es-Salaam ataachaje, kujua hilo?
 
Inahitajika mtu mmoja tu kuwaonyesha adabu hawa vibaka. Tena its a good thing wakiwa na mapanga kwani ni tosha kabisa kuwa-shoot on the spot for reasons of self-defence.
 
Ndugu usidanganywe, wale watu wapo kazini na sio vibaka kama unavyodhania.
 
Back
Top Bottom