nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Naandika thread hii kwa huzuni Sana.
Leo Alfajiri nimeamka katika Mji wa Dodoma.
Nilipofika kituo Kikuu cha Mabasi kabla sijaingia getini nimeshuhudia kundi la Vijana wakivamia abiria wanaotembea kwa miguu au abiria wanaoshuka Kwenye daladala na kuingia kituoni kwa miguu.
Mamlaka za usimamizi wa Usalama Dodoma zifanyie kazi kadhia hii.
Leo Alfajiri nimeamka katika Mji wa Dodoma.
Nilipofika kituo Kikuu cha Mabasi kabla sijaingia getini nimeshuhudia kundi la Vijana wakivamia abiria wanaotembea kwa miguu au abiria wanaoshuka Kwenye daladala na kuingia kituoni kwa miguu.
Mamlaka za usimamizi wa Usalama Dodoma zifanyie kazi kadhia hii.