Vibaka Iran watoboa ukuta wa benkikuiba maboksi kadhaa ya pesa

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
13,760
29,174
Mzuka wanajamvi!

Vibaka Tehran nchini Iran wametoboa ukuta wa benki kutokea kwenye jenho lililo karibu na benki iyo nakuiba maboksi 280 (safes) zenye pesa na Vito vya thamani.

DJB563HI4FDCDGRR5RXXASAXWY.jpg
DJB563HI4FDCDGRR5RXXASAXWY.jpg


Wezi hao walichukua fursa (advantage) ya siku kuu ya siku tatu iliyokuwa ikiadhimishwa nchini Iran kufanya wizi huo katika branch kubwa ya benki inayomilikiwa na serikali Benk Melli Iran.

Ijawekwa wazi ni kiasi gani cha fedha au vitu gani vya thamani lakini maboksi (safes) zaidi ya 250 ziliibwa.

Polisi na meneja wa Benki wamelaumu kitendo hicho cha wizi nakudai umeleta uharibu wa kawaida tu.

Walipovunja ukuta Alarm ilipiga na ilimfikia meneja lakin akapuuzia kwasababu mara kwa mara 'fake alarm' Italian polisi wakienda wanakuta hamna tukio lolote.

Wezi hao pia walinyofoa na kuiba CCTV zote zilizokuwa kwenye benki iyo hadi kwenye mtaa maarufu karibu na chuo kikuu cha Tehran (UDSM Yao) ambayo ni mwendo wa kutembea tu karibu na kituo cha polisi.

Hadi navyoposti uzi wameshakamatwa washukiwa 13 walihusika na wizi huo.

Soma zaidi kwa kiingereza posti number moja hapo chini.

Senior JF middle east correspondent and analysts.

Masters!
 
Burglars in Iran’s capital, Tehran, cut through the wall of a bank from the building next door and stole from dozens of safe deposit boxes, state TV has reported.

The thieves took advantage of a three-day holiday to break into a major branch of government-owned Bank Melli Iran and steal from 250 boxes, Monday's report said.

It was not confirmed what items were stolen or how much the haul was worth.

The bank said the incident caused “limited damages”.

An alarm went off, triggering an automatic alert that was sent to the branch’s manager ― but he ignored the notice because he had received false alarms in the past, the Mehr news agency reported.Mehr said the alarm system was not set up to alert police.

The robbers also stole surveillance cameras and other monitoring equipment from the bank, which is on a major street near the University of Tehran and within walking distance of a police station.

Many banks in Tehran keep their safe deposit boxes underground.

Police said several suspects, including some bank employees, are under investigation.

It is rare for government banks in Iran to be robbed.
 
O
Mzuka wanajamvi!

Vibaka Tehran nchini Iran wametoboa ukuta wa benki kutokea kwenye jenho lililo karibu na benki iyo nakuiba maboksi 280 (safes) zenye pesa na Vito vya thamani.View attachment 2267122View attachment 2267122

Wezi hao walichukua fursa (advantage) ya siku kuu ya siku tatu iliyokuwa ikiadhimishwa nchini Iran kufanya wizi huo katika branch kubwa ya benki inayomilikiwa na serikali Benk Melli Iran.

Ijawekwa wazi ni kiasi gani cha fedha au vitu gani vya thamani lakini maboksi (safes) zaidi ya 250 ziliibwa.

Polisi na meneja wa Benki wamelaumu kitendo hicho cha wizi nakudai umeleta uharibu wa kawaida tu.

Walipovunja ukuta Alarm ilipiga na ilimfikia meneja lakin akapuuzia kwasababu mara kwa mara 'fake alarm' Italian polisi wakienda wanakuta hamna tukio lolote.

Wezi hao pia walinyofoa na kuiba CCTV zote zilizokuwa kwenye benki iyo hadi kwenye mtaa maarufu karibu na chuo kikuu cha Tehran (UDSM Yao) ambayo ni mwendo wa kutembea tu karibu na kituo cha polisi.

Hadi navyoposti uzi wameshakamatwa washukiwa 13 walihusika na wizi huo.

Soma zaidi kwa kiingereza posti number moja hapo chini.

Senior JF middle east correspondent and analysts.

Masters!
Onyesha hilo tobo ambalo wezi walivunja ukuta angalau.,
 
Back
Top Bottom