Papa?papa gani anavaa kanzu bhana?Kwa wale wadau na wajuzi wa hii Taasisi ya Vatican, hiki kiatu kina significance yoyote au ni mtoko tu wa kawaida?
Nijuzeni
SourceView attachment 84831
Kwa wale wadau na wajuzi wa hii Taasisi ya Vatican, hiki kiatu kina significance yoyote au ni mtoko tu wa kawaida?
Nijuzeni
SourceView attachment 84831
mkuu MPAMBANAJI.COM, ni udadisi tu wa kawaida.lengo lako ni nini haswa?
ana pea kibaonilidhani ni hapo tu kumbe ndio mtoko wake wa mara kwa mara!
kuna kitu hapo lazima
Mguu wa michelle Obama