Viatu vya Pope Benedict XVI

Viatu vya Pope Benedict XVI

Na mdada wa kuvitunza kaajiriwa

2012-03-23T020501Z_01_EGC13_RTRIDSP_3_MEXICO-POPE.jpg
Kwa mtizamo huu mkuu inawezekana ndivyo ilivyokubaliwa katika taratibu zao kuwa pope ni lazima avae viatu vyekundu. Na kwa wakristu mavazi ya rangi ya damu (nyekundu) inamaanisha kujitoa kwa wale waliokufa kwa maisha ya kuupigania ukristu kama wale mashahidi wa Uganda!!! Kama wewe mkatoliki utafahamu ninachokisema.
 
Hapa 1st lady ndio amejitahidi kweli kutafuta ngua ndefu!!

Mkuu the Pen!!! First Lady Michelle Obama ni fashion icon na huwa anavaa mavazi marefu kwa zaidi na mafupi ni kwa mara chache sana!! Jaribu ku-google mavazi yake utapata ushahidi!! Penye ukweli tuseme!!

9k=
 
Mkuu the Pen!!! First Lady Michelle Obama ni fashion icon na huwa anavaa mavazi marefu kwa zaidi na mafupi ni kwa mara chache sana!! Jaribu ku-google mavazi yake utapata ushahidi!! Penye ukweli tuseme!!

9k=

Mkuu, Zogwale, kila mavazi na mahali pake. Je, kwa occasion hii unaona ni vema kuvaa alivyovaa? Km ana vazi refu zaidi ya hilo si ni bora angelivaa hilo refu? That's what I meant.
 
Last edited by a moderator:
Kwa mtizamo huu mkuu inawezekana ndivyo ilivyokubaliwa katika taratibu zao kuwa pope ni lazima avae viatu vyekundu. Na kwa wakristu mavazi ya rangi ya damu (nyekundu) inamaanisha kujitoa kwa wale waliokufa kwa maisha ya kuupigania ukristu kama wale mashahidi wa Uganda!!! Kama wewe mkatoliki utafahamu ninachokisema.
The tradition of the popes wearing red shoes were carried over from the customs of ancient Rome itself. In fact, by the time of the Byzantine Empire only three people are allowed to officially wear red shoes in the empire: the Emperor, the Empress, and the Pope. Even in art, depictions of people wearing red shoes are severely restricted to the above-mentioned or the angels.
 
lengo lako ni nini haswa?
sioni sababu ya kuzua maswali mengi hivyo,papa ni kiongozi mkubwa sana wa kiimani duniani na mara nyingi watu kama papa huvaa vitu vinavyolingana na tafsiri za kiimani.na hapo ndipo ilipo maana ya muuliza swali.anataka kujua kama vina uhusiano wa kiimani au kimamlaka ya upapa baasi.sasa nashangaa watu mnahamaki na kutoa tafsiri za ajabu ajabu sio kila mtu anajua kila kitu katika kila wakati.
 
Back
Top Bottom