Esther Kimario
Member
- Nov 17, 2011
- 62
- 13
wenzako wameshaanza kazi tangu wiki iliyopita omba mungu watu wagome nawe upate nafasi kama ulifanya vyema pia.
Ya kweli hayo quirine? Sio kwamba wiki iliyopita ndo watu walikuwa kwenye kufinalize negotiations za mishahara ili waanze kazi next month?