VETA washaita watu kazini?

pinochio

Member
Jul 27, 2011
26
3
Wandugu wa JF , kwa wale waliofanya second interview VETA; Nakumbuka walisema watawajulisha watu in two weeks.Je kuna waliojulishwa??maana two weeks imeisha toka last week na sasa tupo week ya tatu. Naombeni mnihabarishe jamani usikute watu na kazi washaanza.
 
  1. Ulipokwenda delloitt uliambiwa wiki mbili- ukaja kuitwa baada ya miezi kama minne. Safari hii tena wamesema baada ya wiki mbili. Utaitwa lini?
(a) Baada ya wiki mbili kweli
(b) Walishaita [ ]
(c) Mwezi wa sita au wa saba
________________________________________________________________________
Akili zako unachanganya na za kuambiwa...........
 
  1. Ulipokwenda delloitt uliambiwa wiki mbili- ukaja kuitwa baada ya miezi kama minne. Safari hii tena wamesema baada ya wiki mbili. Utaitwa lini?
(a) Baada ya wiki mbili kweli
(b) Walishaita [ ]
(c) Mwezi wa sita au wa saba
________________________________________________________________________
Akili zako unachanganya na za kuambiwa...........

Duh! Kweli kwa stail ile nahisi C ndo jibu muafaka.
 
Ni kweli... tuvute subira wakuu! Mambo ya maofisini huwa ni mengi kutakuwa na issue zingine ambazo ni pressing dizaini. Im sure wata-communicate very soon.
 
Mh! ila ndugu kwenye subira hapa ndo muda muafaka wa vimemo kupita na wengine kupigwa chini.Beware!!:nerd:

Ha ha ha! Punguza wasiwasi kaka, sijawahi kusikia veta wakioperate kwa mfumo wa vimemo. Natiwa moyo pia kuwa tulikuwa wachache sana this time, kama ni mchezo huo ungechezwa ile raundi ya kwanza... Anyway, wasiwasi ndo akili. Salute!
 
Hivi unadhani nini maana ya kuacha adress yako pale 2lia kama ukiona kimya ujue haupo na unaweza kuitwa na ukapigwa chini we endelea kujipanga jinsi ya kutoka lasivyo mtakua mnalalamika dairy afu ambao hawana ajira kama wewe wpo kibao au unadhani mliapply 10?
 
Ni kweli,vuta subira,anwani,namba za simu nk zinatakiwa ziwe zile zilizo inuse anytime,siyo wakupigie hupatikani,kwani wabongo kwa kubadili line hatujambo!
Lakini pia kumbukumbu yako hubaki kwa muda mrefu.nakumbuka jamaa yangu aliitwa kuanza kazi baada ya miaka 3,akiwa tayari kaajiriwa,lakini akatoa notisi ya saa 24,alikoajiliwa,akaenda kule alikoitwa,ambako alifanya interview miaka 3,ilopita.nashauli vuta subira,lakini tuache contact za kudumu tunapotuma maombi ya kazi nk.
 
Ni kweli,vuta subira,anwani,namba za simu nk zinatakiwa ziwe zile zilizo inuse anytime,siyo wakupigie hupatikani,kwani wabongo kwa kubadili line hatujambo!
Lakini pia kumbukumbu yako hubaki kwa muda mrefu.nakumbuka jamaa yangu aliitwa kuanza kazi baada ya miaka 3,akiwa tayari kaajiriwa,lakini akatoa notisi ya saa 24,alikoajiliwa,akaenda kule alikoitwa,ambako alifanya interview miaka 3,ilopita.nashauli vuta subira,lakini tuache contact za kudumu tunapotuma maombi ya kazi nk.

Mwakalingaeli! Hapo nilipo-pabold panakatisha tamaa! Sasa miaka mitatu ntakuwa bado nafiti kwa post niliyofanyia interview??? Hata shule yangu haitakuwa km niliyonayo sasa... Km nina bachelor, baada ya miaka mi3 ntakuwa na masters au nipo nafanya PhD! Kama ni mtu unayekua, post uliyoiomba leo baada ya miaka mitatu haikufai...Otherwise utakuwa underutilised! Najiuliza hata salary milyonegotiate miaka mi3 iliyopita... ha ha ha! - But I also agree kuwa subira yavuta heri.
 
Mwakalingaeli! Hapo nilipo-pabold panakatisha tamaa! Sasa miaka mitatu ntakuwa bado nafiti kwa post niliyofanyia interview??? Hata shule yangu haitakuwa km niliyonayo sasa... Km nina bachelor, baada ya miaka mi3 ntakuwa na masters au nipo nafanya PhD! Kama ni mtu unayekua, post uliyoiomba leo baada ya miaka mitatu haikufai...Otherwise utakuwa underutilised! Najiuliza hata salary milyonegotiate miaka mi3 iliyopita... ha ha ha! - But I also agree kuwa subira yavuta heri.

Siku, wiki hatimaye miezi imepita... mwenye taarifa atujuze jamani ... au ndo hivyo ilibidi tujue kuwa pakionekana manyoya basi ameshaliwa tayari?
 
Siku, wiki hatimaye miezi imepita... mwenye taarifa atujuze jamani ... au ndo hivyo ilibidi tujue kuwa pakionekana manyoya basi ameshaliwa tayari?

Mh! kama bado watu hawajaitwa basi itakuwa Juneeeeee! Ndo kuanza kazi au July baada ya mwaka wa fedha kuanza. Sasa hapa hadi waite utakuta watu wengi washapata kazi sehemu nyingine .Toka interview ya kwanza iam sure miezi sita ishapiata.:scared::decision::A S 109:
 
Mh! kama bado watu hawajaitwa basi itakuwa Juneeeeee! Ndo kuanza kazi au July baada ya mwaka wa fedha kuanza. Sasa hapa hadi waite utakuta watu wengi washapata kazi sehemu nyingine .Toka interview ya kwanza iam sure miezi sita ishapiata.:scared::decision::A S 109:

Ile multiple choice yangu hapo juu niliitunga kama utani kumbe imeshageuka kweli? .... Dah, inaelekea "C" ndio jibu sahihi!... we are finished!
 
Jamani nimepata habari kutoka kwa reliable source kuwa interview ya pili ilikuwa na umuhimu sana (pengine zaidi ya ile ya delloite) na kuwa most of the interviewees waliperform below the set minimum passmark! Very few have been contacted and will probably report at their duty stations in Early May.

Expect more updates
 
Jamani nimepata habari kutoka kwa reliable source kuwa interview ya pili ilikuwa na umuhimu sana (pengine zaidi ya ile ya delloite) na kuwa most of the interviewees waliperform below the set minimum passmark! Very few have been contacted and will probably report at their duty stations in Early May.

Expect more updates


Duh! so kwa ambao hatujapigiwa simu ndo tusha pigwa chini.:A S 109:
 
Duh! so kwa ambao hatujapigiwa simu ndo tusha pigwa chini.:A S 109:

Huo ni karibu zaidi na ukweli maana wa kupigiwa wameshapigiwa, as I said, a friend of mine alipigiwa. Ukweli ni kuwa wa2 hawakwenda wakijua kutakuwa na interview nyingine na walikuwa so unprepared! Hivo waliperform so badly, na wengi wali-admit kuwa walifanya vibaya kutokana na kutojua kuwa walikuwa wameitwa for the second interview.
 
kama kuna watu walifanya vibaya then.lets hope wale reserve list nao wataitwa wapewe mafasi yakujieleza

Wakiitwa reserve watafanya vzr maana wataenda wakijua wanaenda kwenye interview.. tofauti na sisi watu tulikwenda tukijua tunaenda kusign mkataba! Kwa wale tuliouliza aliyepiga alikuwa akisema hapana sio interview ni maongezi tuu mafupi na management... Bt that's life ha ha ha!
 
Wandugu wa JF , kwa wale waliofanya second interview VETA; Nakumbuka walisema watawajulisha watu in two weeks.Je kuna waliojulishwa??maana two weeks imeisha toka last week na sasa tupo week ya tatu. Naombeni mnihabarishe jamani usikute watu na kazi washaanza.

wenzako wameshaanza kazi tangu wiki iliyopita omba mungu watu wagome nawe upate nafasi kama ulifanya vyema pia.
 
Back
Top Bottom