Verossa

Verossa

Asprin, mijimama imemuhamisha mji.
Kasweka huko Bagamoyo ndani ndani vijijini huko.
Kumbe ndo tabia yake huyo eeee.
Anavizia wazee wanaokaribia kustaafu, ale kiinua mgongo chao.
Siku hizi kuna vizee-ngozi tu, ila akili ya ujana mwambie.
Asije na yeye akahama mji.
Hivi Dark City ni vichuchuchu vya Tanga vinamuweka busy au?
KOKUTONA, mmemfanya nini mzee wa watu huko?
Mbona haonekani kabisa katika darubini?

Hebu kwanza nitake radhi....Tangu lini babu akakibizana na vijukuu?


Nilishakueleza wewe uwe na adabu kabla sijakupiga laana ukawa chizi...!!!
 
Hebu kwanza nitake radhi....Tangu lini babu akakibizana na vijukuu?


Nilishakueleza wewe uwe na adabu kabla sijakupiga laana ukawa chizi...!!!
Afu babu unajua nimekumiss sana aisee.
Kesho mosi naja....niandalie yule mwanao kwa matumizi binafsi, yule wa pale mkhahawani.

Ila nimekumiss sana....sijui una nini changu aisee
 
Back
Top Bottom