Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,332
- 176,112
Kafanyaje dota wangu?Kumbe...ndo maaana Heaven Sent
Kafanyaje dota wangu?Kumbe...ndo maaana Heaven Sent
Asprin, mijimama imemuhamisha mji.
Kasweka huko Bagamoyo ndani ndani vijijini huko.
Kumbe ndo tabia yake huyo eeee.
Anavizia wazee wanaokaribia kustaafu, ale kiinua mgongo chao.
Siku hizi kuna vizee-ngozi tu, ila akili ya ujana mwambie.
Asije na yeye akahama mji.
Hivi Dark City ni vichuchuchu vya Tanga vinamuweka busy au?
KOKUTONA, mmemfanya nini mzee wa watu huko?
Mbona haonekani kabisa katika darubini?
Afu babu unajua nimekumiss sana aisee.Hebu kwanza nitake radhi....Tangu lini babu akakibizana na vijukuu?
Nilishakueleza wewe uwe na adabu kabla sijakupiga laana ukawa chizi...!!!
Mwambie babu asinisahau kwenye mgao wa mafao yakeHebu muache babu DC astaafu kwa amani...
Shikamoo babu, nilikumisimo!Hebu kwanza nitake radhi....Tangu lini babu akakibizana na vijukuu?
Nilishakueleza wewe uwe na adabu kabla sijakupiga laana ukawa chizi...!!!
Mdogo wangu.Hebu muache babu DC astaafu kwa amani...
Kuna mahali nimesema namtaka?
Ni hela tuUnataka hela zake tu...
Anajua maana ni babu yetu na huwa tunaenda kupata ushauri wake wa familia yetuRRONDO ana taarifa?
Ooh poor him.Anajua maana ni babu yetu na huwa tunaenda kupata ushauri wake wa familia yetu
Why???Ooh poor him.

Alinimaliza sidhani kama i had any role to play! usinihusishe... Mentor is a free molecule... Cc: Evelyn Salt
Mhh..watafute: Kiranga, Mzee Mwanakijiji, King'asti, Paw au Kaunga plizzzz...
Ndo maana tumedumu mupenziDuh wife Evelyn Salt, kumbe nilianza kukufukuzia zamaniee [HASHTAG]#2013[/HASHTAG]!!!
Nashangaa nimepatwa na kawivu cha gaflaNdo maana tumedumu mupenzi