Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Ngoja nikae vizuri kuusoma mchezoMimi nawakilisha kundi la 'secrete admirers' ambao wako discouraged na kupenda kwake pesa! Ila naona anaanza kubadilika 'we' can reconsider!
Ngoja nikae vizuri kuusoma mchezoMimi nawakilisha kundi la 'secrete admirers' ambao wako discouraged na kupenda kwake pesa! Ila naona anaanza kubadilika 'we' can reconsider!
Asprin, mijimama imemuhamisha mji.
Mgirk alikutaka wewe, mie nilikuwa ni wa ziada tu, sasa huoni nimedharaulika hapo?
Hahaha kweli mwalimu ni flexible. Ndo kubana uchumi au?Eti sifa ya mwalimu ni kuwa flexible.
Kipindi nasoma THE SAME HIGH SCHOOL (yaani Same Sec.) second master ndo alikuwa discipline master, mhasibu, mwalimu wa Chemistry A level, Biology O level na History..pata picha!
Bae si ulisema unaumwa leo umelala mapema?!! 🙁🙁🙁Ngoja nikae vizuri kuusoma mchezo
Mweeeeeeh!!Mimi nawakilisha kundi la 'secrete admirers' ambao wako discouraged na kupenda kwake pesa! Ila naona anaanza kubadilika 'we' can reconsider!
Asprin, mijimama imemuhamisha mji.
Kasweka huko Bagamoyo ndani ndani vijijini huko.
Kumbe ndo tabia yake huyo eeee.
Anavizia wazee wanaokaribia kustaafu, ale kiinua mgongo chao.
Siku hizi kuna vizee-ngozi tu, ila akili ya ujana mwambie.
Asije na yeye akahama mji.
Hivi Dark City ni vichuchuchu vya Tanga vinamuweka busy au?
KOKUTONA, mmemfanya nini mzee wa watu huko?
Mbona haonekani kabisa katika darubini?
Nimeishajitoa kwenye hiyo foleniBae si ulisema unaumwa leo umelala mapema?!! 🙁🙁🙁
Huyo babu hajawahi kunibemenda, we ulishasema hunitaki, sasa mbona unaniharibia? We nenda katumike bwana, au ndio ushabaki kipisi upo dustbin?Na utamke kumuacha babu wa watu - asprin - mbele ya kadamnasi hii!!!
NimekufwaaaDota uchawi huu umeuanza lini? Hao wote ni zilipendwa nishasahau hata existence zao, akili yoote inamuwaza RRONDO tu.