Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,600
- 6,721
Karibu sana..Nakuja kuhakiki.![]()
![]()
![]()
Karibu sana..Nakuja kuhakiki.![]()
![]()
![]()
Wala usijeWewe endelea kujisemesha tu ujue nikiachika nakuja kukaa kwako utake usitake maana hakuna namna![]()
Nini inatembezwa?Nawe unaijua kumbe?Aiseee kumbe inatembezwa sana eeeh?![]()
Usinifanyie hivyo babu jamaniNtakulea wewe, watoto watalelewa na baba zao...
Mi siwezi kukufanya wallah... labda itokee tuUsinifanye hivyo babu jamani
Ukaguzi naufanya mwenyeweMi siijui ndio maana nataka kukusindikiza kwenye ukaguzi.
Nakwambia hivi utanijua kama mie msukuma au mzungu!Nakwambia utakuta na mabegi yangu kwakoWala usije
Shughuli unaijua, jiandaeNakwambia hivi utanijua kama mie msukuma au mzungu!Nakwambia utakuta na mabegi yangu kwako
Hahahaha na hicho kibamia chako huwezi kwakweliMi siwezi kukufanya wallah... labda itokee tu
Wewe umejua nini?Nini inatembezwa?
Am ready for everything labda ujiandae weweShughuli unaijua, jiandae
Isije ikawa wewe ndo una bwawa afu unanipakazia... Mungu anakuona ujue..Hahahaha na hicho kibamia chako huwezi kwakweli
Sawa, mimi nakusindikiza tu.Ukaguzi naufanya mwenyewe
Hahahaha wewe sio mzima hapa hakuna bwawa ila kuna ziwa victoriaIsije ikawa wewe ndo una bwawa afu unanipakazia... Mungu anakuona ujue..
Ok sawa haina shidaSawa, mimi nakusindikiza tu.
Creative...nimependa but bado dada zetu wengi wao hawapati funzo nao waingia huko huko
Hahaha ndio anachomaanisha?
Mwalimu wangu kipenzi RRONDO uko wapi baba, kwakweli alichokufanyia huyu mwanamke mungu anamuona!!
Kuja unywe juisi upunguze machungu.
Ataweza hata kunywa mwenyewe kweli au umnyweshe tu
Unampenda eeeh!! Basi you have the funiest way of showing it.
Hahahaha wewe sio mzima hapa hakuna bwawa ila kuna ziwa victoria
Hivi we mchaga wa wapi una maneno namna hii!!Asante mkuu!
Hata hivyo tusikate tamaa...kuna vitamaa vya vitu vidogo vidogo vinawaponza sana dada zetu. Mfanoo mzuri fuatilia hiki kinachoendelea hapa! Mkaka wa watu RRONDO kampenda binti kabisa kabisa..binti kaona huyo hatoshi kaenda kujivaa kwa mzee anayekaribia kustaafu Asprin.
Na haya ndiyo maisha ya mtaani.
Sina maana hiyooooo Cc: Asprin
Walai wewe na delilah mmepishana kidogo sana...
Mama na mwana...!
Hadi umeongea kikoloni daadek kweli mwalimu alifanya kazi yake!!!
Sehemu zote hizo hazina vyumba vya kulala wageni wanaotokea Dar wakielekea Dar...