Verossa

Verossa

Usipoteze muda. Twende PM nikakupe details zake. Ndo ujue ukungwi ni kwenye keyboard tu.
unamdhalilisha mke wa ujana wa yuleeeeeeeeeee! uwiiiiiii hubby ninunulie hata bajaji basi!
 
Last edited by a moderator:
nimenunaaaaa ninunulie basi hata mgongo wa chura jamani! uwiiiiiiiiiiiiiiii wenye magari mpo juu! mnawabanjuaje?? shemeji, ukimuona mume wangu Asprin! nijulishe tafadhali!

he...kisa na maana? Au shida ni Verossa? halafu ujue shemeji we si unaridhikaga na kale ka baby walker kangu nikikupa lift sema nimekauza sasa.......... Asprin ameenda kupooza koo kidogo (sijui haogopi mfungo, sema bila ivo kodi itapatikana wapi?)
 
Last edited by a moderator:
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii umemuumbua shoga angu ujue!! mtoto mbaya wewe sana! amu hebu weka brake. hubby Asprin ninunulie verossa au cellica plz, niwaenzi mababu!

unamdhalilisha mke wa ujana wa yuleeeeeeeeeee! uwiiiiiii hubby ninunulie hata bajaji basi!

Sielewi elewi...........!!!!!!! Kuna nini hapa!!
 
ila na wewe ulibwedea! kula baba, wakijileta kanyaga twende!` he he he he! mke mwenza snowhite hebu kuja pande hii!
Hivi naomba mniweke sawa maana hapa sijui yupi niyupi!!
amu nakuomba unieleze huyo Bi Suu! ninani na niyupi alivaa pichu ktk celica na nicelica hipi??ya kakakiiza au kitu kingine mnaongeleea!!
 
Last edited by a moderator:
Afu wewe bana, kila siku unaniuzia mbuzi kibudu kwenye kiroba.... Ntayasusia haya matembezi ujue....:help:

heheheeee ukisusa wenzio wala, si unaona Kaizer alivoni-warn hapo chini kuwa utamu wake ni kibendi, sasa mie naogopaa sijawahi kufanya hivyooo...........
 
Last edited by a moderator:
nimenunaaaaa ninunulie basi hata mgongo wa chura jamani! uwiiiiiiiiiiiiiiii wenye magari mpo juu! mnawabanjuaje?? shemeji, ukimuona mume wangu Asprin! nijulishe tafadhali!

Sasa unaitaka ili uwe unafanyia nini? kuwabanjua viserengeti boyz!?
 
itapata tu kazi ikishapatikana! hujambo Mentor?

Hahaha kama hujui matumizi yake...wewe hata duet inakutosha!!!!

kwi kwi kwi! una balaaa weye! SIMO MIE HUKO! TENA NINA MIMBA KUBWA YA TRIPLETS YA Asprin, twalea wenetu sie!

Ivi bado hujajifungua!?? Ivi ni mimba ya Asprin au ya Kaizer ??!

Asprin ni wewe tu uliyebaki kuniletea habari!
kwani hapa ni verrossa na Mentor au kibajaj cha amu
mh!
odo amu mbona umekuwa mkali hiv humu odo!
af ile shing kumi hujanipa ujue ninunue ashkilimu!
snowhite...mwanzoni nilidhani ni verossa ila nimekuja kugundua hata bajaji has the same effect..tutajionea mengi humu!

Mentor tuheshimiane!
mke mwenzangu hawezi kuwabanjua serengeti boys!

Chezea cacico wewe!!!! me knows her..muulize alikuwa na nani pale PSPF...

mwambie cacico akupe Zanzi aliwahi kuniambiaga inazimua vizuri kweli!
mke mwenza do ze nidful!

Kitu zanzi KakaKiiza, itafute. Ingawa dada gfsonwin aliniambia kiwanda kimefungwa!!!
 
Last edited by a moderator:
Hahaha kama hujui matumizi yake...wewe hata duet inakutosha!!!!



Ivi bado hujajifungua!?? Ivi ni mimba ya Asprin au ya Kaizer ??!


snowhite...mwanzoni nilidhani ni verossa ila nimekuja kugundua hata bajaji has the same effect..tutajionea mengi humu!



Chezea cacico wewe!!!! me knows her..muulize alikuwa na nani pale PSPF...



Kitu zanzi KakaKiiza, itafute. Ingawa dada gfsonwin aliniambia kiwanda kimefungwa!!!
Mentor ! Mentor!
ehehehehhehehehehe
 
Last edited by a moderator:
Hahaha kama hujui matumizi yake...wewe hata duet inakutosha!!!!



Ivi bado hujajifungua!?? Ivi ni mimba ya Asprin au ya Kaizer ??!


snowhite...mwanzoni nilidhani ni verossa ila nimekuja kugundua hata bajaji has the same effect..tutajionea mengi humu!



Chezea cacico wewe!!!! me knows her..muulize alikuwa na nani pale PSPF...



Kitu zanzi KakaKiiza, itafute. Ingawa dada gfsonwin aliniambia kiwanda kimefungwa!!!
hii mada yako Mentor imekaaa kimbeya na kimajungu sana !!!!! sikutegemea kutoka kwako
ask your self this question ''Should I lower my standards to [FONT=arial, sans-serif]accommodate others[/FONT][FONT=arial, sans-serif]?''[/FONT]
 
Last edited by a moderator:
Hahaha kama hujui matumizi yake...wewe hata duet inakutosha!!!!



Ivi bado hujajifungua!?? Ivi ni mimba ya Asprin au ya Kaizer ??!


snowhite...mwanzoni nilidhani ni verossa ila nimekuja kugundua hata bajaji has the same effect..tutajionea mengi humu!



Chezea cacico wewe!!!! me knows her..muulize alikuwa na nani pale PSPF...



Kitu zanzi KakaKiiza, itafute. Ingawa dada gfsonwin aliniambia kiwanda kimefungwa!!!
kukupa salamu nikiwa garini, naona ishakuwa taabu! nitaanza kukulia bati kuliko dawa iliyo-expire!
 
Back
Top Bottom